Mwigulu Nchemba kiepuke kikombe hicho mapema vinginevyo jumba bovu linaenda kukuangukia wewe

Hakuna mfanyabiashara mwenye akili tiamamu ambae aturudi Tanzania bila zile sheria kandamizi za uwekezaji alizotunga Magufuli kufutwa.Hiyo kudai kuwa wafanyabiashara wabembelezwe ni wakati sheria kandamizi bado zipo palepale ni changa la macho tu!
 
Huyu alishazoea vya dhuluma, amekula vingi vya dhuluma so anahisi hatavipata tena, akale kwa jasho sasa,
 
Wewe Jitombanini ni mpuuzi sana! Nyie ndo mlinufaika na utawala wa maguvu wa Magufuli sasa meza imehama kutoka kwenu!
Watu wenye akili wanajua " more investments more taxes"! Huwezi kupata kodi nyingi kwa kufukuza wawekezaji au kufrastruate watu!
Nyie ndo mlipora fedha za watu na matask force yenu ya kupora watu pesa zao.
Tafuta wenzako akina Musiba,Makonda muunde Chama Chenu Cha Maguvu hata ndani ya CCM wawa ng'oe kwani akili zenu ndogo sana!
 
Hivi mbona mnataka kutuuaminisha kwamba bila kutumia mabavu kodi haikusanywi??
Hivi wakati mnasoma huko vyuoni hamkujifunza njia bora za kukusanya kodi au ndo hivyo mnataka kuhalalisha upigaji wenu.
 
Kuna mwingine mbaye anahisi huyu ni yule aliyejiita Mwanaharakati Huru wa kuitetea serikali?
 
Yanini kukusanya kodi kubwa wakati inaishia kwenye mifuko ya watu wachache? Rejea kwa mkurugenzi wa TRA hela alizokamatwa nazo nyumbani kwake.
 
Tanzania inaenda kushuhudia anguko kuu la makusanyo ya kodi ambalo limeruhusiwa kwa makusudi na kiongozi wa Nchi kisa eti kuwabembeleza wafanyabiashara.

Bila kuwa na maono mkuu wa Nchi amedai hata makusanyo yakipungua kwa miezi mitatu ama miwili halipo tatizo huku akitabiri makusanyo kupanda juu baada ya wakati huo wa mpito jambo ambalo kwa sera na uhalisia wa wafanyabiashara wetu ni vigumu kutimiza wajibu wao ki hiari.Na hapo ndipo anguko la Mwigulu Nchemba litapoanzia.

Ndugu yangu Mwigulu natambua wewe ni mtu wa fursa lakini kwa hilo anguko lijalo la makusanyo ya kodi litapelekea uangushiwe jumba BOVU huku ukilaumiwa umeshindwa kuisimamia mamlaka ya kukusanya kodi vyema na hapo utafutwa kazi.

Tafadhari,jiepushe na kikombe hicho mapema.
Ole dotto ango?
 
Tanzania inaenda kushuhudia anguko kuu la makusanyo ya kodi ambalo limeruhusiwa kwa makusudi na kiongozi wa Nchi kisa eti kuwabembeleza wafanyabiashara.

Bila kuwa na maono mkuu wa Nchi amedai hata makusanyo yakipungua kwa miezi mitatu ama miwili halipo tatizo huku akitabiri makusanyo kupanda juu baada ya wakati huo wa mpito jambo ambalo kwa sera na uhalisia wa wafanyabiashara wetu ni vigumu kutimiza wajibu wao ki hiari.Na hapo ndipo anguko la Mwigulu Nchemba litapoanzia.

Ndugu yangu Mwigulu natambua wewe ni mtu wa fursa lakini kwa hilo anguko lijalo la makusanyo ya kodi litapelekea uangushiwe jumba BOVU huku ukilaumiwa umeshindwa kuisimamia mamlaka ya kukusanya kodi vyema na hapo utafutwa kazi.

Tafadhari,jiepushe na kikombe hicho mapema.
Naona unahangaika sana na mada zisizo na kichwa mala miguu.

Usijifanye mjuaji kumzidi Rais na vyombo vyake vyote. Usijifanye mjuaji kuizidi Dunia nzima. Maelekezo ya Rais, ndivyo Dunia ya watu wenye weledi na ustaarabu wanavyofanya.

Kwa sababu kwa kiasi kikubwa inaonekana uelewa wako ni mdogo, ungetulia, ili ujifunze kutoka kwa watu wenye uelewa mkubwa.

Tanzania ni lazimaniondoke kutoka kwenye primitivity na kwenda kwenye civilized economy.
 
Brother, kuna nchi zinaendeshwa kodi za bandari tu, kuna nchi zinaendeshwa kwa kodi ya utalii tu, kuna nchi zinaendeshwa kwa kodi ya madini tu, kuna nchi zinaendeshwa kwa kodi ya mazao ya kilimo tu. Sisi yote hayo tunayo na nyongeza ya viwanda vya bia, vinywaji baridi, bidhaa za ujenzi, nguo, n.k. hapa suala ni kujipanga na kuwa serious tu. Nchi itaenda vizuri tu.
 
Wewe Jitombanini ni mpuuzi sana! Nyie ndo mlinufaika na utawala wa maguvu wa Magufuli sasa meza imehama kutoka kwenu!
Watu wenye akili wanajua " more investments more taxes"! Huwezi kupata kodi nyingi kwa kufukuza wawekezaji au kufrastruate watu!
Nyie ndo mlipora fedha za watu na matask force yenu ya kupora watu pesa zao.
Tafuta wenzako akina Musiba,Makonda muunde Chama Chenu Cha Maguvu hata ndani ya CCM wawa ng'oe kwani akili zenu ndogo sana!
Hawa Jamaa ni wapuuzi sana. Mama kuwaambia wenye mamlaka waache tabia ya kukusanya kodi kwa mitutu ya bunduki bali kwa mujibu wa sheria zilizowekwa. Kwao ni kosa??

Dangote Investment amepitia misukosuko mikubwa na Serikali kiasi kwamba alipoteza imani kwenye uwekezaji wake. Biashara nyingi za watu zimefungwa na kodi zimepotea. Sasa Mama kuleta suluhu kwao ni kosa??

Mama kaweka wazi hataki na wala hatarajii kupata kodi kwa njia haramu. Bora wapate kidogo lkn ni halali. Waliozoea dhuluma wamenuna.
 
Tanzania inaenda kushuhudia anguko kuu la makusanyo ya kodi ambalo limeruhusiwa kwa makusudi na kiongozi wa Nchi kisa eti kuwabembeleza wafanyabiashara.

Bila kuwa na maono mkuu wa Nchi amedai hata makusanyo yakipungua kwa miezi mitatu ama miwili halipo tatizo huku akitabiri makusanyo kupanda juu baada ya wakati huo wa mpito jambo ambalo kwa sera na uhalisia wa wafanyabiashara wetu ni vigumu kutimiza wajibu wao ki hiari.Na hapo ndipo anguko la Mwigulu Nchemba litapoanzia.

Ndugu yangu Mwigulu natambua wewe ni mtu wa fursa lakini kwa hilo anguko lijalo la makusanyo ya kodi litapelekea uangushiwe jumba BOVU huku ukilaumiwa umeshindwa kuisimamia mamlaka ya kukusanya kodi vyema na hapo utafutwa kazi.

Tafadhari,jiepushe na kikombe hicho mapema.
Nyie mlikua hamkusanyi kodi, mlikua mnanyang'anya watu pesa zao. Kodi za dhulma mama kasema hataki.

Acheni dhulma mtakufa mapema
 
Tanzania inaenda kushuhudia anguko kuu la makusanyo ya kodi ambalo limeruhusiwa kwa makusudi na kiongozi wa Nchi kisa eti kuwabembeleza wafanyabiashara.

Bila kuwa na maono mkuu wa Nchi amedai hata makusanyo yakipungua kwa miezi mitatu ama miwili halipo tatizo huku akitabiri makusanyo kupanda juu baada ya wakati huo wa mpito jambo ambalo kwa sera na uhalisia wa wafanyabiashara wetu ni vigumu kutimiza wajibu wao ki hiari.Na hapo ndipo anguko la Mwigulu Nchemba litapoanzia.

Ndugu yangu Mwigulu natambua wewe ni mtu wa fursa lakini kwa hilo anguko lijalo la makusanyo ya kodi litapelekea uangushiwe jumba BOVU huku ukilaumiwa umeshindwa kuisimamia mamlaka ya kukusanya kodi vyema na hapo utafutwa kazi.

Tafadhari,jiepushe na kikombe hicho mapema.
SUKUMA & CO.LTD AT WORK.
 
Back
Top Bottom