Kila kampeni za uchaguzi amekua akitembea na kinyago chake Hana sera gaidi huyu mwegulu
Bora al-shabab kuliko chadema
Kumuita binadamu mwezio kinyago, kisa tu amemwagiwa tindikali na CHADEMA ni uzandiki usiosemeka!
chadema ni janga la kitaifa.
Mwigulu ndiye aliyeratibu mpango mzima wa ulipuaji wa bomu kule soweto
Uzuri wa MUNGU ni kwamba anasema kwa HAKI atahukumu wanadamu.Na hata Mwigulu atahukumiwa kwa haki kama anasema Uongo Maana angekuwa mkweli na mpenda Mungu na Mpenda haki Angeeleza na kifo cha DAUD MWANGOSI kauawa na Serikali yake.Kwa unyama walioufanya na wanaoendelea kuufanya Mh. Mbowe na Dr. Slaa, siku ya hukumu Mungu atawatengea moto maalumu kwaajili yao.
Ha ha ha ha ha CCM walichelewa kuzindua kampeni zao kumbe walikuwa hawajakamilisha maandalizi ya kuwaandaa misukule yao ya kuzunguka nayo kwenye kampeni.Wakawachukue na wale mabinti wa kingereza waliomwagiwa tindikali Zanzibar pamoja na mapadri wote na mashekhe waliomwagiwa tindikali wazunguke nao kwenye kampeni waendelee kusema kuwa walimwagiwa tindikali na CHADEMA.
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Ifakara wakati wa Mkutano wa Kufungua Kampeni uliofanyika Jana Tar.27/02/2014.Hapa akiwa na Wahanga wa siasa chafu zinazodaiwa Kufanywa na Chadema kupitia Vijana wake wa Redbrigade.Mwenye T-shirt ya Njano ni Mzee Alphonce John ambaye alitopolewa Macho kwa dispisi wakati wa Uchaguzi wa Udiwani huko Kahama Mwezi uliopita.
Mwigine mwenye Shati la Kijana ni Kijana Musa Tesha ambaye alimwagiwa Tindikali na Vijana wanaodaiwa Kuwa wa Chadema huko Igunga wakati wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo.Mh:Mwigulu Nchemba jana amesisitiza Wananchi wa Kalenga kuwa makini na siasa Chafu za Chadema zinazofanywa sehemu mbalimbali hasa kwenye nyakati kama hizi za Uchaguzi.Amesisitiza kuwa kwenye Chaguzi zozote Vyama vya siasa vinashindanisha Sera na hoja kuhusu Maendeleo ya Wananchi wa eleo hilo,Mkataba wa CCM na Wananchi ni Maendeleo katika Taifa hili,Umoja na Mshikamano ndio ngao ya MwanaCCM yeyote.
Mwigulu Nchemba amesema dhambi ya Mauaji na Unyama unaoendelea kwenye mikutano ya siasa na maeneo mbalimbali haitamwacha Dr.slaa Salama kutokana na yeye kuwa kiongozi anayebariki Siasa chafu hizo.
Chanzo:Kalenga
Umeskip dose leo eeh?
Kumuita binadamu mwezio kinyago, kisa tu amemwagiwa tindikali na CHADEMA ni uzandiki usiosemeka!
Chadema ni sawa na Alshabaab tu.
Viongozi wao wanatumia maisha ya watu kama mtaji wa siasa