Hivi Chadema wanashiriki uchaguzi au wanahudhuria uchaguzi?
Ina maana ACT hawapo??
Hivi Chadema wanashiriki uchaguzi au wanahudhuria uchaguzi?
Unakumbuka kisa cha Iringa wakati mwangosi alipouawa, unakumbuka kisa cha kijana muuza magazeti Morogoro, unakumbuka kisa cha kuawa kwa vijana arusha kwenye maandamano, zaidi ya yote unakumbuka kisa cha kutupwa bomu kwenye mkutano wa CDM, ni watwa wangapi walikufa na wangapi walipata kilema ? Name mwenye siasa chafu kama chama kinachoshika dola kinakaa kimya katika unyama kama huo kwa nini tusisema kuwa CCM ndio waratibu wa mauji ya raia wasio na hatia katika nchi hii?Ni siasa za hatari sana hizi wamefanya watu kuwa walemavu.
Ataanza kulipa jakaya kikwete kwa Babu Seya na papii kochaCHADEMA na Dr.Slaa familia za hawa watu zinateseka kwa ajili ya uroho wenu wa madaraka! Kuna siku mtalipa haya yote mnayoyafanya kwa ajili ya uroho wa madaraka!
Wanasindikiza wenzao kwenye msafala wa mamba..............Hivi Chadema wanashiriki uchaguzi au wanahudhuria uchaguzi?
Vipi cdm hawapeleki majeneza huko kalenga safari hii?
Maana kila uonapo jeneza inabidi ulize mkutano wa cdm uko wapi
Mimi ni mhehe, na nimetokea Kalenga
Sisi watu wa Kalenga hatuna tabia ya kuzomea, kama hatukutaki tunakuambia usoni bila kuficha
CCM Itashinda kwa kishindo kalenga, na kama ikiwa tofauti mimi nitarudi Kalenga kwa miguu kutoka huku
Hizi picha zitakuwa sio za kalenga.Hizo picha za mwaka 2010.
Muongo wewe sote tumeona kwenye tv watu nyomi tu.Hiyo kweli kwani nimeangalia itv nimeona magari ni mengi kuliko watu. Naamini watu wamesombwa kwa wingi kama kawaida.
Acha ushamba wewe na uhayawani wako. Watanzania wa leo hawana akili za matope kama zako kibogoyo wa kufikiri wewe pamoja na huyo kilaza mwenzio Mwigulu Nchemba. Kwani kama Dr Slaa ndio aliwafanya hao watanzania masikini hivyo vitendo polisi hawana uwezo wa kumkamata Dr Slaa???? ina maana nchi hii siku hizi Dr Slaa ana majeshi ya ulinzi na usalama??!!! halafu kwa nini polisi na vyombo vingine vya usalama mnakubali Mwigulu kwa akili yake finyu na chama chake wanawatukana na kuwadhalilisha hadharani kiasi hiki??? yani Polisi kweli mmeshindwa kazi kiasi cha kushindwa kumkamata raia tena wa kawaida sana DR SLAA na kumuwajibisha kwa kuwafanyia raia wenzake unyama huo???!!! kweli??!! CCM kweli mnachekesha sana na mnajimaliza wenyewe bila kujua maana hawa raia mnaowafanyia unyama ninyi na polisi ili baadae wawe mtaji wenu wa kisiasa kwa kuwalipa fedha mwisho wa siku watawatokea puani maana raia walishajua mchezo wenu mchafu na for sure nawaambia u are finished!!!!! hao raia wanawasubiri muangukie pua 2015 then wamwage ushahidi jinsi mlivyowahonga mapesa machafu ili watimize mlichokuwa mnakihitaji.
kila kampeni za uchaguzi amekua akitembea na kinyago chake hana sera gaidi huyu mwegulu
Sasa ushahidi wanao kuhusu huo unyama, kwa nini wamshindwa kwenda mbele ya vyombo vya sheria na wakati wenyewe ndiyo wanaviongoza? That means hawajui wanachokifanya