TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,483
- 667
Huko magharibi ndiko barazani kwa JK ameishi zaidi huko kuliko ofisini kwake ndiko anakopeleka dhahabu yetu na kuleta vyandarua vyenye matundu yenye uwezo wa kupenyeza mdudu na kumaliza samaki wetu, sasa hapa nchemba anamsema bosi wake au? ama kweli kukataliwa kubaya ccm wanachanganyikiwa na hali halisi ya upepo wa kisiasa.