Mwigulu Nchemba atoa kali

Mwigulu Nchemba atoa kali

QinetiQ

Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
33
Reaction score
12
Naibu Katibu Mkuu CCM Mh. Nchemba anafanya janja ya nyani kuanza kufanya kampeni, angalia chini picha na maneno yaliyoandikwa "MWIGULU NCHEMBA 2015" ukiwa unatokea DSM kwenda Mwanza hutashangaa kukuta maneno hayo yameandikwa katika majengo/nyumba, mawe n.k hasa maeneo ya Singida kuelekea Mwanza. Pia maneno kama hayo yameonekana Iiringa barabara ya kwenda Mbeya.

Swali, je huyu ni kiongozi ndani ya chama kuwazuia wenzake kufanya kampeni?



IMG-20150130-WA0004.jpg

Hapa Chini ni Iringa maeneo ya Ipogolo

IMG-20150131-WA0000.jpg

IMG-20150131-WA0001.jpg

IMG-20150131-WA0005.jpg

Kwenye mawe na miamba:

10945670_401195410054495_6350747751854529258_n.jpg

10924726_401195396721163_6434688800931325290_n.jpg
 

Attachments

  • IMG-20150130-WA0003.jpg
    IMG-20150130-WA0003.jpg
    160.7 KB · Views: 2,831
  • IMG-20150130-WA0000.jpg
    IMG-20150130-WA0000.jpg
    167.5 KB · Views: 2,443
pale round about USAGARA mwanza,ule msingi wa mzunguko umeandikwa hilo jina la kishetani
 
Hilo bango nililiona juzi wakati nakuja moshi nikitokea mwanza mitaa ya karibu na shelui hakika nilikwazika sana maana jamaa simpendi kaa nn
 
huyu jamaa nilikuwa cmpendi zamani lakini sasa i am trusting him, maana kajirekebisha na anaonekana ni mtu anaeza leta changes kulikuwa kuliko wote walioko ndani ya ccm. i am sure huyu jamaa atamdondosho lowasa.
 
'Viongozi wazuri ni wanafalsafa lakini shida ya wanafalsafa hawapendi madaraka, mkiwalazimisha hawadumu, wanaondoka wenyewe. Kinachotokea ni kuwa wengi wa wanaotaka madaraka ni wale wasiofaa, na wakiyapata hawataki kuachia', Mwalimu Nyerere, Nkrumah Hall, UDSM.

Mwigulu, Lowasa, Zito, January ni mifano mizuri ya wanaoyatafuta madaraka kwa udi na uvumba; tusishangae wakiyapata, kuwatoa itabidi mpaka kwa koleo. Hawa ndiyo Mwalimu alisema ni wa kuwaogopa kuliko ukoma.
 
Hakuna nafasi ya muuaji kuiongoza Tanzania. Mikono yake imejaa damu za watu. Kawaulize watu ambao wake zao, watoto wao, wazazi wao au watoto wao waliuawa kwa mipango ya Mwigulu, kama wameanza kumwamini Mwigulu. Asamehewe mwingine yeyote lakini siyo muuaji Mwigulu.

huyu jamaa nilikuwa cmpendi zamani lakini sasa i am trusting him, maana kajirekebisha na anaonekana ni mtu anaeza leta changes kulikuwa kuliko wote walioko ndani ya ccm. i am sure huyu jamaa atamdondosho lowasa.
 
Nawasikitikia kwani hadi sasa atakayepitishwa kugombea kwa tiketi ya CCM wala hajatangaza nia bado!!!
 
huyu jamaa nilikuwa cmpendi zamani lakini sasa i am trusting him, maana kajirekebisha na anaonekana ni mtu anaeza leta changes kulikuwa kuliko wote walioko ndani ya ccm. i am sure huyu jamaa atamdondosho lowasa.

Hujui sifa kuu ya wanasiasa ni kubadilika kipindi kama hiki cha kabla ya uchaguzi, mpe kura yako umuone, Ataibuka tena Mwigulu yule wa ushahidi wa ugaidi.
 
Kwanini asiandike pale Lumumba kwenye jengo lao?
 
Dah........hayo maandishi yangeandikwa Lowasa 2015 lazima Mangula angeitisha kikao lumumba fasta........mwaka huu tutajionea mengi.

Mangula ana shida, he is a failure in life sasa ana chuki na yeyote mwenye mafanikio
 
sio hilo tu hata pale RUVU kama unakuja dsm pale reli ikipopita juu ya barabara....
 
Haya pale Ruvu kwenye daraja la treni huyu mwehu kajiandika. Huu ni utoto uliopitiliza
 
Inawezekana kabisa huu mpango wa kujichora unaratibiwa na yy mwenyewe.. na huenda ni kakikos kalitumwa kuchora huu upuuz kwenye baadh ya maeneo... sio bure
 
Back
Top Bottom