Mwigulu Nchemba atoa kali

Mwigulu Nchemba atoa kali

Inawezekana kabisa huu mpango wa kujichora unaratibiwa na yy mwenyewe.. na huenda ni kakikos kalitumwa kuchora huu upuuz kwenye baadh ya maeneo... sio bure
Kama mtu aliweza kuwa na kikosi cha kigaidi anakiratibu atashindwa kikosi kama hiki?
 
mikono yake imejaa damu za watu kwanza atubu mbele ya Mungu na mbele Watanzania wote alafu ndo aendelee na mambo mengine lakini urais atausikiaga tu 2015 UKAWA Slaa
 
Nchi imefika pabaya sana, tunakuwa na wagombea Urais wanaochora @machata kwenye kuta za nyumba na barabara???
 
mikono yake imejaa damu za watu kwanza atubu mbele ya Mungu na mbele Watanzania wote alafu ndo aendelee na mambo mengine lakini urais atausikiaga tu 2015 UKAWA Slaa

alienda kutubu kwa tb joshua
 
Kachafua sana vikaravati vya barabara ya Dodoma - Iringa mshenzi huyu
 
huyu jamaa nilikuwa cmpendi zamani lakini sasa i am trusting him, maana kajirekebisha na anaonekana ni mtu anaeza leta changes kulikuwa kuliko wote walioko ndani ya ccm. i am sure huyu jamaa atamdondosho lowasa.

Mkuu unadhani mwanaume akiwa na malengo ya kumtongoza mrembo amtakae unadhani atajionyesha tabia na matendo yake ya ajabu ajabu? Huyu jamaa anatuhadaaa na anadhani sisi Watanzania tuna ubongo wa kuku wa kienyeji.
 
Mnamlaumu bure Mwigulu. Hapo ndio mwisho wa uwezo wake kufikiri,na hiyo ni mbinu iliyo onwa na kuratibiwa na timu yake ya propaganda inayoongozwa na Mtela na yule Juliana Shonza.
Ndio maana wakionekana mahali tuu kesho yake utakuta mawe au nyumba zimeandikwa hivyo. Hapo unakuta mzee wa kijijini kapewa elfu 20 na karuhusu nyumba yake iandikwe hivyo. Kinana alipompiga marufuku Mwigulu kuzurura na kampeni zake kikubwa nikuwa aina ya kampeni zake zilionekana ni za kienda wazimu na aibu kwa chama.
 
sio hilo tu hata pale RUVU kama unakuja dsm pale reli ikipopita juu ya barabara....
Hata mie niliona nikadhani wahuni wameandika kwa kuzingatia ile tabia yao ya kuweka "machata" kumbe "nchi" nzima ameandika hii ni tabia mbaya sana kwanza ni uchafuzi lazima upigwe marufuku huu uhuni na aagizwe akafute!
 
Mwigulu hebu tuambie watanzania kwanini unautamani urais namna hii.una siri gani ?
 
Mkuu unadhani mwanaume akiwa na malengo ya kumtongoza mrembo amtakae unadhani atajionyesha tabia na matendo yake ya ajabu ajabu? Huyu jamaa anatuhadaaa na anadhani sisi Watanzania tuna ubongo wa kuku wa kienyeji.

Watanzania ni watu wa ajabu sana wanahadaiwa na mambo ya kipuuzi tu huyo jamaa anasema nchemba amebadilika kabadilika kitu gani hasa, kwa tabia hii ya kupiga 'machata' kila mahali akiwa Rais atashindwa kupinga machata Ikulu kweli ni muhuni tu.
 
Hii mbinu anayotumia mwigulu lazima ikomeshwe mbona hasikii huyu jamaa vipi.anadharau maamuzi ya Chama chake.
 
huyu jamaa nilikuwa cmpendi zamani lakini sasa i am trusting him, maana kajirekebisha na anaonekana ni mtu anaeza leta changes kulikuwa kuliko wote walioko ndani ya ccm. i am sure huyu jamaa atamdondosho lowasa.

Usihadaike na mgonjwa kunywa uji, hiyo siyo ishara ya kupona. Hata Idd Amin aliongea mengi sana yenye maana lakini hiyo haikumfanya awe mtu wa maana.

Mwingulu is still useless.
 
Hata yule January Makamba nae amejiandika andika maeneo ya Mwanza na Shinyanga.
 
Back
Top Bottom