kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,998
- 2,414
jenga hoja si matusiMavi?.
jenga hoja si matusiMavi?.
nadhani unamaanisha mademu?
Tanzania ndio itakuwa nchi ya kwanza kuongozwa na raisi aliyefoji jina na umri
Naibu Katibu Mkuu CCM Mh. Nchemba anafanya janja ya nyani kuanza kufanya kampeni, angalia chini picha na maneno yaliyoandikwa "MWIGULU NCHEMBA 2015" ukiwa unatokea DSM kwenda Mwanza hutashangaa kukuta maneno hayo yameandikwa katika majengo/nyumba, mawe n.k hasa maeneo ya Singida kuelekea Mwanza. Pia maneno kama hayo yameonekana Iiringa barabara ya kwenda Mbeya.
Swali, je huyu ni kiongozi ndani ya chama kuwazuia wenzake kufanya kampeni?
Mleta mada inawezekana hiyo picha hiyo picha imefanyiwa editting, maana nikiangalia hizo elufi kwenye dirisha napata mashaka, au labda ni huu mchina wangu unanidanganya?
Naibu Katibu Mkuu CCM Mh. Nchemba anafanya janja ya nyani kuanza kufanya kampeni, angalia chini picha na maneno yaliyoandikwa "MWIGULU NCHEMBA 2015" ukiwa unatokea DSM kwenda Mwanza hutashangaa kukuta maneno hayo yameandikwa katika majengo/nyumba, mawe n.k hasa maeneo ya Singida kuelekea Mwanza. Pia maneno kama hayo yameonekana Iiringa barabara ya kwenda Mbeya.
Swali, je huyu ni kiongozi ndani ya chama kuwazuia wenzake kufanya kampeni?
View attachment 222985
Hapa Chini ni Iringa maeneo ya Ipogolo
View attachment 223152
View attachment 223153
View attachment 223155
sio dhambi kuandikwa kihivyo.mbona nimeona gari limeandikwa maneno ya kumkampenia kijana mmoja, mbona na kitabu kimetungwa pamoja na kununuliwa makala kwenye magazeti ili watu wakisome kitabu hicho?
Tumia akili kidogo uliyonayo hoja ni kujiweka wazi Makamba kawa muwazi na ana adhabu na waliompa adhabu ndo huyu anayeaandika kwenye mawe, chunguza vizuri ila pia siwezi kushangaa ukiendelea kupinga naona upo huko, kazi kwenu watanzania!