Jamaani huyo kijana wa igunga alitemwagiwa tindikali inakuwaje kila mkutano yupo. Waliofanya huo ukatili hawajakamatwa?
Mkuu huyu Mwambamba hajitambui yeye ni nani na siasa maana yake nini.Nafikiri alikuwa sahihi kusema kwamba wananchi wasikichague chama kinacholeta vurugu. Siku zote chama kinacholeta vurugu ni Chama cha Mapinduzi na serikali yake, kinaamuru polisi kuuwa wananchi wasiokuwa na hatia lengo tu ni kukidhoofisha CHADEMA lakini kila mbinu wanayofanya inashindikana. Mwigulu kila mbinu anayofanya haifanikiwi sijui CCM wanamwamini kwa lipi? mpaka sasa hivi mipango yake imesababisha mauaji ya watu 7 na majeruhi 3 mmoja wapo ni huyo anayetembea naye kila sehemu. amemfanya kama mdori wake au kinyango cha kuonyeshea kwa watu wakati ni mbinu zake chafu mpaka akamwagia tindikali kijana wa watu bila kosa. Jiulizeni ni nani aliyekamatwa kuhusiana na issue hiyo! hawawezi kumkamata maana na yeye ni sehemu ya serikali. Mwigulu hakuna alichofanikiwa ndani ya CCM anamaliza pesa zao tu, kila mission anayofanya ina abort. Mbinu ya uchonganishi imeshindwa, Kutuma ujumbe feki wa simu umeshindwa, Ukabila (chama cha Wachaga) imeshindikana, Kuua watu kwenye mikutano ya CDM imeshindwa, kumwagia tindikali imeshindwa, Ugaidi imeshindikana na Udini nayo imeshindwa.
Ningemuona wa maana angemleta na kumsimamisha kamanda aliyepigwa shoka juziNani aliyesema ni upinzani walimwagia tindikali. Usihukumu na wewe isije ukahukumiwa. Hizi ndo
siasa za chuki zinapandikizwa kwa wanajamii
Yani hao wananchi wa kuhesabu ndio unasema mamia...sio makumi hao? Halafu huyo mgombea wenu anaonyesha kachoka, naona kashika vikaratasi utadhani anachangia kikao cha kutoa posa. Pumbavu zenu!! Mwambie huyo Mwigulu akanyoe na hayo madevu, anaonekana kama babu wa miaka mia. Na nyie waliberali yaani wewe na Mtela na Shonza mtaendelea kufuata sera za uliberali mpaka lini? Na ndio maana wewe Mtela kazi yako ni kucheka cheka tu...Kazi ya Mliberali mwenzio Mwigulu Chemba.
HIVI kuna mwanaJF anawezapata vedio ya huyu jamaa?
HIVI kuna mwanaJF anawezapata vedio ya huyu jamaa?