Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru mmeanza kujikana.Elimisha na wenzako kwamba CHADEMA sio chama cha Kaskazini bali ni cha Kitaifa.
Froida;6524713[URL="http://3.bp.blogspot.com/-1bYCE57iF10/UbDDmcXTF1I/AAAAAAAABAs/qZL0Ao-fkhY/s1600/DSC06711.JPG" said:[/URL]
....hapo juu kimoyo moyo....aiseee kumbe Arusha CCM haipo kabisa !!!!
..kwi kwi kwi alitegemea nyomi ...machalii hawaangali sura jomba huku ni mpela mpela !!
Wewe endelea na longo longo zako. Siyo tatizo lako kwa sababu akili ilipoanzia ndipo ilipoishia kibaya zaidi, hutaki hata kujitoa kwenye hilo box la ujinga.Ama kweli ni bora ya nguo zichanike kuliko akili,unaposema mmeweza na mnasonga mbere ni kwa lipi?ccm mmeweza kuua uchumi wa tanzania,mmeweza kuua elimu ya tanzania,mmeweza kuiba madini na wanyama pori na sasa mnazidi kusonga mbere ovyo sana sjui kwanini hamjitambui.
Kumjibu mtu mwenye fikra za kibavicha bavicha kama zako ni kupoteza muda.Ktk kura elifu 10 zitakazopigwa akipata kura elifu moja mgombea wa ccm hatatueleza kazipata wapi wana arusha
Kelele za chekechea wa kisiasa hazimzuii mtu mzima kuendelea na shughuli zake.
Wao wamebakiwa na cheap politics zinazokolezwa na spinning za kijinga na siasa zilizopitwa na wakati za kueneza sera zao za kutaka kufahamu nani ni msagaji na nani siyo msagaji.
waacheni waendelee na siasa zao za kilaghai, maji taka na kumwagia watu wasio na hatia tindikali.
CCM tumedhubutu, tumeweza na sasa tunatenda.
Makada tuko mikoani tunafanya kazi tuliyotumwa na wananchi kupitia kwenye sanduku la kura 2010.
Mbona kafuga mavu...... Mashavuni??????
Wewe endelea na longo longo zako. Siyo tatizo lako kwa sababu akili ilipoanzia ndipo ilipoishia kibaya zaidi, hutaki hata kujitoa kwenye hilo box la ujinga.
CCM tumethubutu, tumeweza na sasa tunatenda.
Haya ni mawazo ya kibavicha bavicha.
Kaskazini ya wapi?. Kama wangesema kaskazini ya Tanzania ungekuwa na hoja. Kikubwa zaidi, nani alisema kama CHADEMA ni chama cha Kaskazini.
Usilishe watu maneno.
Kweli bavicha ni janga la Taifa.
Wewe endelea na longo longo zako. Siyo tatizo lako kwa sababu akili ilipoanzia ndipo ilipoishia kibaya zaidi, hutaki hata kujitoa kwenye hilo box la ujinga.
CCM tumethubutu, tumeweza na sasa tunatenda.