Mwigulu Nchemba ashauri Serikali iache kutangaza wagonjwa wapya wa Corona, itangaze wanaopona na wanaokufa

Habari .

Wazo la kwanza kabisa kuhusu kupinga kutaja idadi ya wagonjwa wapya wa virus vya Corona wanaongezeka kila siku lilitolewa na mbunge wa Iramba Dr Mwigulu Lameck Nchemba.

Nchemba alijenga hoja kwamba kutaja kila siku wagonjwa wapya wa Corona kunawaongezea hofu wananchi, pia mataifa mbalimbali yaliingia kwenye mashindano ya nani ana wagonjwa wengi wa Corona badala ya kujikita kwenye kutoa elimu na kutafuta dawa ya ugonjwa!.

Kama ilivyo kwa kila wazo jipya kupokewa kwa hisia tofauti, ndivyo ilivyokuwa kwa hoja ya Dr Mwigulu, wengi ya watu ambao kwao mawazo ambayo yako beyond average huwatesa sana kuelewa ( chadema) waliponda sana wazo hilo, walisema sasa Nchemba amekwisha kisiasa na kifikra. Kitu cha ajabu kabisa hata msomi Prof Kitila Mkumbo aliingia kwenye anga za chadema akaona hilo kama ngazi ya kupanda kisiasa akaanza kumchafua Nchemba kwa wapiga kura wake kupitia twita!

Naam ,leo ni wiki ya pili sasa tangu Nchemba atoe hilo wazo na hakuna wagonjwa wapya tuliotangaziwa kuongezeka badala yake tunatangaziwa waliopona.
Je hii ina maana gani kwa Chadema?
Au ndiyo inamaanisha ushauri wa Dr Nchemba umefuatwa na wizara ya afya hivyo kuwaacha uchi chadema na Kitila Mkumbo wao?

Yetu macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Zanzibar walitaja ongezeko juzi!
 
Mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba ameishauri Serikali kuacha kutangaza visa vipya vya wagonjwa wanaogundulika kuwa na corona, badala yake itangaze kama ugonjwa bado upo ama la, idadi ya watu wanaopona na idadi ya wanaofariki.

Pia Mwigulu amewashangaa wapinzani kuhusu kutahadharisha kuhusu ugonjwa huu na kuhoji kwani wao ni Mungu? Kama Mungu ameshatulinda kwanini wao watie watu hofu.

Saafi kabisa, naona ushauri mzuri wa Mwigulu unaendelea kufanyiwa kazi na Serikali. Keep it up. Msitangaze chochote mpaka pale itakapoonekana watu wameisha mtaani....
 
Mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba ameishauri Serikali kuacha kutangaza visa vipya vya wagonjwa wanaogundulika kuwa na corona, badala yake itangaze kama ugonjwa bado upo ama la, idadi ya watu wanaopona na idadi ya wanaofariki.

Pia Mwigulu amewashangaa wapinzani kuhusu kutahadharisha kuhusu ugonjwa huu na kuhoji kwani wao ni Mungu? Kama Mungu ameshatulinda kwanini wao watie watu hofu.


Kujipendekeza kutatufanya tuumie watu wa chini
 
Mimi kwa mtazamo wangu ningeona tuache malumbano tuangalie way foward na jinsi gani mmoja mmoja kuangalia jinsi ya kupambana na kadhia hii iliyoko mbele yetu,Nchi za wenzetu wameamua kututenga kwani madereva wanaoenda mathalani Rwanda hupimwa na kuzuiwa kwenye gari zao na kurudishwa kwa ulinzi bila kutoka kwenye gari zao sasa Basi nini impact ya hii kitu kwa Muelewa atajiisolate kwa mjinga anakuwa bomu cha msingi wanasiasa kama wanaweza kuitisha michango kulipa fine za wanasiasa kutoka jela kwa nini wasiombe kibali kwa ajili ya hili? ,nimuhimu tujue mashine za kupimia za kisasa bei gani tujichangishe, zinunuliwe,watu wajitokeze wapime kwa hiari hata kwa kanda, ukijitambua hali yako mapema unaweza pambana kwa kujilinda,kujitibu(fusho la kutosha)na Njia nyinginezo nyingi ambazo zimesaidia,na kulinda wengine.#JitambueMapema
Sababu Ni kweli Magonjwa yote yanaua ila ukiangalia DEATH V\S TIME(covid 19 ni babu Lao),tunaweza poteza nguvukazi na washauri/watendaji kwa kiasi kikubwa mno...
#Kupima kwa Hiyari ndio mpango mzima naamini hizi ’Isolation Centre‘ Hazitatosha kama spreading rate inaenda kwa speed hii!
 
Mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba ameishauri Serikali kuacha kutangaza visa vipya vya wagonjwa wanaogundulika kuwa na corona, badala yake itangaze kama ugonjwa bado upo ama la, idadi ya watu wanaopona na idadi ya wanaofariki.

Pia Mwigulu amewashangaa wapinzani kuhusu kutahadharisha kuhusu ugonjwa huu na kuhoji kwani wao ni Mungu? Kama Mungu ameshatulinda kwanini wao watie watu hofu.


Tuufanyie tathmin huu ushauri...
 
Sasa huyo mbona kafa alafu hawamtangazi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

If you can't change them atleast join them😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba ameishauri Serikali kuacha kutangaza visa vipya vya wagonjwa wanaogundulika kuwa na corona, badala yake itangaze kama ugonjwa bado upo ama la, idadi ya watu wanaopona na idadi ya wanaofariki.

Pia Mwigulu amewashangaa wapinzani kuhusu kutahadharisha kuhusu ugonjwa huu na kuhoji kwani wao ni Mungu? Kama Mungu ameshatulinda kwanini wao watie watu hofu.


Baada ya ushauri huu wa kipumbavu Meko akamteua kuwa Waziri wa Sheria na Katiba. Na kwa vile MUNGU hadhihakiwi aliyepokea ushauri wa kipumbavu akaambukizwa COVID 19, na sasa yuko anapumua oxygen kwa mashine. Daaaadadeeeeki
 
Ndio uchumi wako uliosomea mchumi mwigulu? Dunia nzima wanatanga cases mpya ili kuwapa watu umakini na mwamko wa kujilinda wewe ni nani hadi ufiche hadi wagonjwa wa COVID 19?? Mshazoea kila kitu kuficha ficha sasa ndio madhara yake mnadhani na hili litafichika
Huyu jamaa alitumbuliwa kihalali kabisa......... Halafu ni PhD holder!!!
Huu upupu ndio ulimrudisha tena kwenye Cabinet
 
Mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba ameishauri Serikali kuacha kutangaza visa vipya vya wagonjwa wanaogundulika kuwa na corona, badala yake itangaze kama ugonjwa bado upo ama la, idadi ya watu wanaopona na idadi ya wanaofariki.

Pia Mwigulu amewashangaa wapinzani kuhusu kutahadharisha kuhusu ugonjwa huu na kuhoji kwani wao ni Mungu? Kama Mungu ameshatulinda kwanini wao watie watu hofu.


Huyu jamaa ni mpuuzi sana. Haya maoni yake ameshindwa kabisa kuyafikisha kwenye Baraza la Mawaziri mpaka aamue kuja kuongea kwenye media?

Rais Samia endelea kucheka na huyu kima, utavuna mabua.
 
Back
Top Bottom