Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,832
Mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba ameishauri Serikali kuacha kutangaza visa vipya vya wagonjwa wanaogundulika kuwa na corona, badala yake itangaze kama ugonjwa bado upo ama la, idadi ya watu wanaopona na idadi ya wanaofariki.
Pia Mwigulu amewashangaa wapinzani kuhusu kutahadharisha kuhusu ugonjwa huu na kuhoji kwani wao ni Mungu? Kama Mungu ameshatulinda kwanini wao watie watu hofu.
Pia Mwigulu amewashangaa wapinzani kuhusu kutahadharisha kuhusu ugonjwa huu na kuhoji kwani wao ni Mungu? Kama Mungu ameshatulinda kwanini wao watie watu hofu.