Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
Na ndio maana ilipotea Tanga
Ingepotea naye tungefurahi sana
Na ndio maana ilipotea Tanga
Eti Mwigulu mzalendo!upuuzi mtupu,watz wanashawishika na vitu vidogo sana asee
Mwigulu, Kigwangala,Januari ...Nadhani kuna tatizo kubwa katika jamii yetu. Kama kwa hayo waliyofanya hao jamaa ndio wanaweza wakasimama na kujinasibu kwamba "wameombwa na wazee" wagombee URAIS wa JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA, basi kwa kweli tuna matatizo. Suala siyo tu kutangaza nia. nadhani inatakiwa mtu ajipange kwamba atatangaza nia miaka kadhaa ijayo, halafu aje na strategic plan ambayo ataitekeleza kwa kipindi hicho, na watu watakuwa wamemjua kwamba aaah huyu anatufaa. hivi ni kwa lipi hasa tunaweza kuanza kumjadili Mwigulu? kwa kesi za ugaidi? haya na huyo Kigwangala - kwa lipi hasa? hata kama ni ubunge, basi angalau tuoneshe unachoweza kufanya katika jimbo lako kwa vipindi viwili vitatu hivi, jinsi uanvyoweza kujenga hoja za kitaifa, unavyoweza kuwaunganisha watu mahali walipoparaganyika.
Kuna ombwe kubwa sana, hatufanani na taifa ambalo lina umri wa miaka 53. Kama kweli ushindani wa watu makini ungekuwa mkali, akina Mwigulu wala wasingefikiria kusogeza pua zao. na matokeo yake ndio hivi vituko. jana Mwigulu ana ajenda za ugaidi, ndevu kibao na anasema ana ushahidi mpaka wa Mbinguni. lakini leo amenyoa ndevu staili ya Nyerere, anaongea kwa pozi. kwa hiyo ndio tuseme amejenga visheni na falsafa tayari? labda falsafa ya chopa.
Namheshimi sana Mwigulu kwa uzalendo wake, lakini kuna maswali hapa yananitatiza.
Tunasema kwamba viongozi kama mawaziri wasipokee zawadi kubwa toka kwa wafanyabiashara kwa kuwa zawadi kubwa zinahusianishwa na rushwa
Tibaijuka kawajibishwa kwa kupokea zawadi ya Tshs 1.6 billion toka kwa mfanya biashara.
Iweje basi, kwa Tibaijuka iwe si sawa kupokea zawadi ya Tshs 1.6b, na kwa Mwigulu iwe sawa kupewa zawadi ya huduma ya chopa ya bure na mfanya biashara? Je, tunaelewa thamani ya huduma ya chopa hiyo ikiwa Mwigulu angetakiwa kuilipia kuzungukia mikoa ya Tanzania? Na kama huyo mfanya biashara angempa Mwigulu hizo fedha ili akakodi chopa, ingeonekana ni sawa?
Na huyo mfanya biashara atapata nini toka kwa Mwigulu? Je Mwigulu ataweza kumkatalia chochote atakachodai akijua alifadhiliwa kwa chopa?
Naona tuna tatizo la double standards.
Hiyo chopa nikiwa Sober siwezi panda. Ngalangala kama lile basi la NGANGA Linaloelekea mikoa ya nyanda za juu kusini
Wacha kututapisha hapa. Uzalendo wa huyu Sokoine wa kichina uko wapi?Namheshimi sana Mwigulu kwa uzalendo wake, lakini kuna maswali hapa yananitatiza.
Tunasema kwamba viongozi kama mawaziri wasipokee zawadi kubwa toka kwa wafanyabiashara kwa kuwa zawadi kubwa zinahusianishwa na rushwa
Tibaijuka kawajibishwa kwa kupokea zawadi ya Tshs 1.6 billion toka kwa mfanya biashara.
Iweje basi, kwa Tibaijuka iwe si sawa kupokea zawadi ya Tshs 1.6b, na kwa Mwigulu iwe sawa kupewa zawadi ya huduma ya chopa ya bure na mfanya biashara? Je, tunaelewa thamani ya huduma ya chopa hiyo ikiwa Mwigulu angetakiwa kuilipia kuzungukia mikoa ya Tanzania? Na kama huyo mfanya biashara angempa Mwigulu hizo fedha ili akakodi chopa, ingeonekana ni sawa?
Na huyo mfanya biashara atapata nini toka kwa Mwigulu? Je Mwigulu ataweza kumkatalia chochote atakachodai akijua alifadhiliwa kwa chopa?
Naona tuna tatizo la double standards.
Chopa Yenyewe mbona magumashi, EXIT/KUTOKA iko nje. mtu aliye nje anahitaji hayo maelekezo kweli? na mtu akiingilia hapo inakuwaje? hauruki?
Namheshimi sana Mwigulu kwa uzalendo wake, lakini kuna maswali hapa yananitatiza.
Tunasema kwamba viongozi kama mawaziri wasipokee zawadi kubwa toka kwa wafanyabiashara kwa kuwa zawadi kubwa zinahusianishwa na rushwa
Tibaijuka kawajibishwa kwa kupokea zawadi ya Tshs 1.6 billion toka kwa mfanya biashara.
Iweje basi, kwa Tibaijuka iwe si sawa kupokea zawadi ya Tshs 1.6b, na kwa Mwigulu iwe sawa kupewa zawadi ya huduma ya chopa ya bure na mfanya biashara? Je, tunaelewa thamani ya huduma ya chopa hiyo ikiwa Mwigulu angetakiwa kuilipia kuzungukia mikoa ya Tanzania? Na kama huyo mfanya biashara angempa Mwigulu hizo fedha ili akakodi chopa, ingeonekana ni sawa?
Na huyo mfanya biashara atapata nini toka kwa Mwigulu? Je Mwigulu ataweza kumkatalia chochote atakachodai akijua alifadhiliwa kwa chopa?
Naona tuna tatizo la double standards.
Uyu jamaa ana uwezo mdogo sana kiutendaji!!!! alafu anakuja na ngonjera hapa anajifananisha na sokoine