nkyalomkonza
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 1,154
- 443
Nipo Jimboni kwa Mwigulu. Asilimia kubwa ya wananchi wamesikitishwa na kauli zake alizotoa bungeni wakati wa kuchangia Budget. Wamepoteza Imani na kuomba kama kuna uwezekano M4C ifike kule kwani jimbo hilo wanahesabu kuwa Wazi.
"Sisi wananchi wa Irambaa tunaishi kwenye Umaskini wa kutupa halafu mbunge wetu anasifia na kutetea budgeti ambayo hata haitukumbuki sisi wananchi" Alisema mama Ulumbi mmoja huku akitokwa na machozi.
"Sisi wananchi wa Irambaa tunaishi kwenye Umaskini wa kutupa halafu mbunge wetu anasifia na kutetea budgeti ambayo hata haitukumbuki sisi wananchi" Alisema mama Ulumbi mmoja huku akitokwa na machozi.