Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,666
- 6,742
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amehitimu masomo ya PhD ya Uchumi aliyokuwa anasomea ktk Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM).
Elimu yake isaidie wananchi sio kujitoa ufahamu na kujikita kwenye uchama, elimu yake isaidie nchi kwanza chama baadayeWaziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba amehitimu masomo ya PhD ya Uchumi aliyokuwa anasomea ktk Chuo Kikuu cha Dar es salaam(UDSM).
Itanue taarifa kidogo basiWaziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba amehitimu masomo ya PhD ya Uchumi aliyokuwa anasomea ktk Chuo Kikuu cha Dar es salaam(UDSM).
Haha hahahaha alikuwa anasoma lini wakati kila siku alikuwa kwenye media akipiga siasa au wamempa tu phd kimagumashi hana lolote papetiWaziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba amehitimu masomo ya PhD ya Uchumi aliyokuwa anasomea ktk Chuo Kikuu cha Dar es salaam(UDSM).
Nimedokeza mara nyingi huyu alikowekwa siyo anafaa wizara ya fedhaWaziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba amehitimu masomo ya PhD ya Uchumi aliyokuwa anasomea ktk Chuo Kikuu cha Dar es salaam(UDSM).
Akianzia na yeye mwenyewe, PhD yake inaisaidia vipi hii nchi, mbwembwe tu.'Wasomi wametusaidia nini Tanzania'... Rais Magufuli
eg, (1)amewakilisha lini tasnifu/andiko lake la uzamifu,Itanue taarifa kidogo basi
MkuuItanue taarifa kidogo basi
Na huko hafai,atajitoa ufahamu pia!Nimedokeza mara nyingi huyu alikowekwa siyo anafaa wizara ya fedha
Hii itaondoa utata kweliKwanza hebu aweke hapa Research question yake tuone