Hivi CCM ni chuo cha kufundisha urais???
We kasome Uhuru na Mzalendo ndio yanayokufaaMimi hata sihangaiki kutafuta gazeti la mengi gazeti lenyewe la kiminga hata hoja yenyewe ya kijinga kwanii kujisumbua.
Huyu muuaji Mwigulu ni damu ya Dr Mvungi ndiyo inaendelea kumtafuna, sio bure!
Mimi hata sihangaiki kutafuta gazeti la mengi gazeti lenyewe la kiminga hata hoja yenyewe ya kijinga kwanii kujisumbua.
Promotion zinaendelea, kaeni chonjo. Jisomee mwenyewe gazeti Nipashe la leo.
Mwigulu acha ujinga! Kama hao uliowataja walikuomba ukawaongoze, omba usheikh au uchungaji. Sijui kijana huyu ana maradhi gani. Mara aibuke na hoja safi za kuendeleza nchi, mara jasusi, mara aropoke, vipi?
Bora Mwigulu kuliko Slaa
Hata mkewe hawezi kusema hivi wewe ujasiri huu umeutoa wapi?