tatizo mwalimu hakupanga njama za kuuwa wananchi wake, kama huyu alivyofanya kule soweto.
kwani mwigulu amepanga njama za kumuua nani maana tusilete zile vita za kwenye majukwaa tukasahaunkuwa hata tunatakiwa kumhukumu mwigulu kutokana na utendaji wake ndani ya serikali kwa umma na wananchi