Mwigulu asisitiza mshikamano ndani ya CCM

hakuna jipya. inasikitisha sana. yaani unazunguka nchi nzima unazungumzia mshikamano leo? tanzania inamatatizo yanayohitaji viongozi wenye utashi wa kuyatatua na si kuomba mshikamano kwani bado hauwasaidii wananchi hata kidogo. hebu viongozi wetu mnaopewa dhamana ya uongozi jaribuni kujifunza dhana kamili ya uongozi kwa maana pana zaidi na kuwaongoza watz katika haki, kweli, sheria bila upendeleo na ushirikishi wa pamoja kwa uwazi katika kupanga, kusimamia, kutekeleza na kupitia upya mara kwa mara miradi ya maendeleo ya jamii husika. iwe ni ya elimu, afya, uchukuzi, maji na uzalishaji mali kwa kutumia rasilimali tulizonazo kwa faida ya watz. tuache siasa za zamani.
...........mkuu kama wewe ni mkristu, kila jumapili unaambiwa uache dhambi, usimtumikie shetani, haijalishi umefanya au haujafanya dhambi kwa kuwaza, kutenda au kunena, japokuwa hili la pili la kutofanya lina nafasi ndogo kama sio haliwezekani kabisa, ndo maana mshikamano utaendelea kuhimizwa katika kila mikutano ya CCM
 
huyu kimeo hana ahadi kwa Kilimnajaro na Iringa, na mikoa mingine mingi tuu.Pamoja na kutoa luluki la haadi bado kakosa kwa baadhi ya miko muhimu.
........ucjali, hata Roma haikukamilika kwa miaka kumi mkuu
 
ipo siku ccm watasema wanampango wa kumwita yesu,na wafuasi wake wakakubali kabisa,huyo bwana hayana mvuto kabisa,tuulizeni sisi tunaye soma hapa dodoma kwa mambo anayofanya,eti aongea kwa unyenyekevu ndago,aliposababisha mauaji ndago,sitamsahau huyo kwa mambo ayafanyayo hapa dodoma,anguko lake ni 2015.
.........mkuu kama anguko lake ndilo hili linaloandaliwa na Chilololo,Diana (Mb) viti maalumu Singida, anajisumbua tu huyu mama hatuwezi kutoa jembe tuweke mtu wa darasa la nne, thubutu.......hatujachanganyikiwa hivyo, kama ndio majembe ya Lowassa haya, nampa pole Avator yangu.

 
........ucjali, hata Roma haikukamilika kwa miaka kumi mkuu

Najali kwa vile hata ukimuuliza rais alitumia vigezo gani kuto ahizo ahadi hovyo hovyo atakupa majibu ya kuchekesha.kama sijui huku hakukuwahi angaliwa tangu uhuru etc.Ila anasahau kuwa hata miundo mbinu ikikosa matunzo basi very soon unahitajia kuja anza moja.Sasa hembu jiulize ikiwa biashara ni kuzunguka na kutengeneza na wakati ukirudi ulipotoka nipa kuanza moja hiyo cycle itaisha lini?

Si Roma tuu hata Dar haikujengwa siku moja ila Bwagamaoyo itajengwa ktk nusu siku.
 
Napata tatizo kuelewa juu ya uelewa wa watu ndani ya CCM kama huwa wanafikiri kabla ya kutenda au la.Jana nimesoma taarifa ya kwamba Nape anawataka wanaccm wawe na umoja ili washinde'UMOJA NI USHINDI'.Sina uhakika kama kenge anaweza kuishi majini ama mamba anaweza kuishi nchi kavu na kuridhika.MAKAO YA MTU SAFI HAYAWEZI KUWA MAKAO YA FISADI.KWA MAANA HIYO NAPE NI FISADI KWA SABABU AMEDANGANYA UMMA KWA MUDA MREFU SASA.KWA MFANO,CCM ITASHUGHULIKIA MAFISADI NDANI YA SIKU 90,120 HOLA.MAFISADI NA NAPE DAMUDAMU.MWANZO ALIKUWA NA KINA OLE SENDEKA,ANNA KILANGO,SITTA,MWAKYEMBE LAKINI SASA YUKO NA KINA LOWASA.critical thinker can't live in a house of CCM where Unafiki is a tool of success.
 
............kaka kumbuka CCM cdicho chama kilichoshika Dola na kinaisimamia serikali katika kutekeleza majumuku ya kila siku kupitia ilani yake, ccm ikiyumba, serikali itayumba pia (kwa lugha rahisi haitakuwa imara)

Ujinga mtupu.Iyumbeje ndio uone imeyumba.CCM has simply got to go.Imeshindwa kabisa kuisimamia serikali iwajibike kwa wananchi wake.
 
pamoja na ahadi zote hizo hewa bado watz wakampa kura. kweli nakubali akili zetu zina ganzi
 
Sasa namiini kuwa cdm imejaa vichaa kwani kwao matusi ni kama ibada yao.watu kama hawa ni sawa na moto wa mabua huanza kwa nguvu lakini ghafla huyeyuka sina shaka kwamba kubishana na kichaa ni kupoteza muda
 
Tukana sana sana lakini ujuwe ssem ndio chama dume wajinga kama nyie hamuwezi kupewa nchi .utaishia kufuatilia viongozi wa ssm wakati chama chako kinakufa.okoa chama chako.
 
Napata tatizo kuelewa juu ya uelewa wa watu ndani ya CCM kama huwa wanafikiri kabla ya kutenda au la.Jana nimesoma taarifa ya kwamba Nape anawataka wanaccm wawe na umoja ili washinde'UMOJA NI USHINDI'.Sina uhakika kama kenge anaweza kuishi majini ama mamba anaweza kuishi nchi kavu na kuridhika.MAKAO YA MTU SAFI HAYAWEZI KUWA MAKAO YA FISADI.KWA MAANA HIYO NAPE NI FISADI KWA SABABU AMEDANGANYA UMMA KWA MUDA MREFU SASA.KWA MFANO,CCM ITASHUGHULIKIA MAFISADI NDANI YA SIKU 90,120 HOLA.MAFISADI NA NAPE DAMUDAMU.MWANZO ALIKUWA NA KINA OLE SENDEKA,ANNA KILANGO,SITTA,MWAKYEMBE LAKINI SASA YUKO NA KINA LOWASA.critical thinker can't live in a house of CCM where Unafiki is a tool of success.
........mkuu hao watu wanaoitwa mafisadi wanashughulikiwa ndani ya chama, sema tu kwa kuwa chama hiki ni kikongwe na busara ndio inayotangulia, ndio maana husikii kelele; angalia hiyo avator yangu, utapata majibu kwamba tunashughulika naye au la;
 
Ilani ipi hiyo mkuu?


asilimia 65 ya ahadi ipi labda, kwa maana nadhani kuna ahadi angalau ameamua kuanza nayo ambayo kwa miaka 2 ndo sasa imefikia kiasi hicho cha 65%; bora pia uitaje na hiyo ahadi badala ya kusema ilani ambayo ni kitu kingine.......

nakukumbusha tu pengine unachanganya ilani na ahadi
 
Back
Top Bottom