Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Wiki ilyopita niliweka mada hapa kuhusu kikao cha kamati kuu ya chadema kuketi kujadili mambo kadhaa lakini mada hiyo iliondolewa mapema tu lakini leo nimeona kurugenzi ya habari ya chadema imeweka kile ambacho mimi niliweka kikaondolewa.
Pengine naomba niendelee kukumbusha kuwa katika kikao cha leo na kesho ndicho kikao ambacho kitamvua rasmi uanachama mwigamba na hatakuwa mwanachama wa chadema tena.
kuvuliwa uanachama kwa mwigamba ni shinikizo la mbunge wa arusha mjini kuwa kama mwigamba hataondoka yeye kama mbunge wa arusha mjini atafanya uamuzi mgumu hali ambayo hakueleweka vema ndipo wazee wakaamua bora kumtosa mwigamba kuliko lema kuamua vinginevyo kwani ataivuruga chadema arusha.
Leo na kesho ni siku ya huzuni kwa mwigamba but furaha kwa Lema make atakuwa ametimiza matakwa yake ya kisiasa kumweka nje ya siasa za chadema mwigamba.
Pengine naomba niendelee kukumbusha kuwa katika kikao cha leo na kesho ndicho kikao ambacho kitamvua rasmi uanachama mwigamba na hatakuwa mwanachama wa chadema tena.
kuvuliwa uanachama kwa mwigamba ni shinikizo la mbunge wa arusha mjini kuwa kama mwigamba hataondoka yeye kama mbunge wa arusha mjini atafanya uamuzi mgumu hali ambayo hakueleweka vema ndipo wazee wakaamua bora kumtosa mwigamba kuliko lema kuamua vinginevyo kwani ataivuruga chadema arusha.
Leo na kesho ni siku ya huzuni kwa mwigamba but furaha kwa Lema make atakuwa ametimiza matakwa yake ya kisiasa kumweka nje ya siasa za chadema mwigamba.