Kilahunja
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 1,500
- 344
Lema afanyiwa kitu mbaya.
www.acerbicarushan.blogspot.com
Hahaaa
Lema afanyiwa kitu mbaya.
www.acerbicarushan.blogspot.com
Ben Saanane na Yericko Nyerere ni tatizi kubw sana ndani ya chadema,na kama wamiliki wa chadema hawatakuwa makini basi hawa muda mfupi sana ujao wanakwenda kuingamiza chadema.
Kinachowafanya mkae hapo lumumba kupoteza muda kumwaga propaganda za kitoto ni kwamba chama chenu ndio kilichoshika dola. Ila hapo kitakapotolewa madarakani wote mtatafuta biashara za kufanya. Tunawaomba TRA wapeleke zile mashine hapo lumumba hizi buku 7 zikikatwa kodi nchi itapiga maendeleo.Nasikia 80% ya wajumbe wa kamati kuu ni WACHAGGA,Mwenye listi atuwekee afadhali.
Wataangalia na video za lema akifanyiwa majamboz kuona jinsi anavyoshughulikiwa ipasavyo