Any update kuhusu issue ya Kapuya?
Wiki ilyopita niliweka mada hapa kuhusu kikao cha kamati kuu ya chadema kuketi kujadili mambo kadhaa lakini mada hiyo iliondolewa mapema tu lakini leo nimeona kurugenzi ya habari ya chadema imeweka kile ambacho mimi niliweka kikaondolewa.
Pengine naomba niendelee kukumbusha kuwa katika kikao cha leo na kesho ndicho kikao ambacho kitamvua rasmi uanachama mwigamba na hatakuwa mwanachama wa chadema tena.
kuvuliwa uanachama kwa mwigamba ni shinikizo la mbunge wa arusha mjini kuwa kama mwigamba hataondoka yeye kama mbunge wa arusha mjini atafanya uamuzi mgumu hali ambayo hakueleweka vema ndipo wazee wakaamua bora kumtosa mwigamba kuliko lema kuamua vinginevyo kwani ataivuruga chadema arusha.
Leo na kesho ni siku ya huzuni kwa mwigamba but furaha kwa Lema make atakuwa ametimiza matakwa yake ya kisiasa kumweka nje ya siasa za chadema mwigamba.
Nasikia 80% ya wajumbe wa kamati kuu ni WACHAGGA,Mwenye listi atuwekee afadhali.
Wataangalia na video za lema akifanyiwa majamboz kuona jinsi anavyoshughulikiwa ipasavyo
Naomba leo Mwigamba afukuzwe mgogoro uongezeke.
Kumfukiza Mwigamba itakuwa pigo kubwa sana kwa chadema naomba hiki libaki kuwa hivi,wangapi wamekosea ndani ya chadema na baada ya kukiri wamesamehewa na wanaendelea kutumiwa ndani ya chama?!,hii inaonesha kweli hiki chama hakijakomaa wala kuimarika!!
Wiki ilyopita niliweka mada hapa kuhusu kikao cha kamati kuu ya chadema kuketi kujadili mambo kadhaa lakini mada hiyo iliondolewa mapema tu lakini leo nimeona kurugenzi ya habari ya chadema imeweka kile ambacho mimi niliweka kikaondolewa.
Pengine naomba niendelee kukumbusha kuwa katika kikao cha leo na kesho ndicho kikao ambacho kitamvua rasmi uanachama mwigamba na hatakuwa mwanachama wa chadema tena.
kuvuliwa uanachama kwa mwigamba ni shinikizo la mbunge wa arusha mjini kuwa kama mwigamba hataondoka yeye kama mbunge wa arusha mjini atafanya uamuzi mgumu hali ambayo hakueleweka vema ndipo wazee wakaamua bora kumtosa mwigamba kuliko lema kuamua vinginevyo kwani ataivuruga chadema arusha.
Leo na kesho ni siku ya huzuni kwa mwigamba but furaha kwa Lema make atakuwa ametimiza matakwa yake ya kisiasa kumweka nje ya siasa za chadema mwigamba.
Naomba leo Mwigamba afukuzwe mgogoro uongezeke.
Naomba leo Mwigamba afukuzwe mgogoro uongezeke.
Unatabiri au unaukweli wowote juu yahilo? Hebu jiweke wazi, ili kama unatabiri waje na watu wengine uwatabilie, manaake utakuwa na element za uganga wa kienyeji a.k.a uchawi!
Lema ndo alimtuma apost
utumbo kwenye mitandao?alipaswa ajiangalie maana mtu mzima ukikutwa
mtupu yakupasa uchutame
sijawahi kukuamini Ndugu SIMIYU YETU .
Wiki ilyopita niliweka mada hapa kuhusu kikao cha kamati kuu ya chadema kuketi kujadili mambo kadhaa lakini mada hiyo iliondolewa mapema tu lakini leo nimeona kurugenzi ya habari ya chadema imeweka kile ambacho mimi niliweka kikaondolewa.
Pengine naomba niendelee kukumbusha kuwa katika kikao cha leo na kesho ndicho kikao ambacho kitamvua rasmi uanachama mwigamba na hatakuwa mwanachama wa chadema tena.
kuvuliwa uanachama kwa mwigamba ni shinikizo la mbunge wa arusha mjini kuwa kama mwigamba hataondoka yeye kama mbunge wa arusha mjini atafanya uamuzi mgumu hali ambayo hakueleweka vema ndipo wazee wakaamua bora kumtosa mwigamba kuliko lema kuamua vinginevyo kwani ataivuruga chadema arusha.
Leo na kesho ni siku ya huzuni kwa mwigamba but furaha kwa Lema make atakuwa ametimiza matakwa yake ya kisiasa kumweka nje ya siasa za chadema mwigamba.
Any update kuhusu issue ya Kapuya?
bora wamfukuze kuliko kumpiga vitofali