FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,814
- 46,936
- Thread starter
- #61
Technology inakuwa kwa kasi sana
Dumb commentDada zetu watakuwa hawaendi teena mwezini...
Kwa iyo ni non stop blow job
SawaItakua raha sana maana hamna usiku. Kwa tusiochoka kutafuta maisha tutaenjoy sana
Tides (kujaa na kupwa kwa bahari) haitaonekana. Dini ya Kiislamu itateterekaAssuming inatokea..
Nani alikwambia waislamu wanaabudu mwezi? Muwege mnasoma na kupata ufahamu kuhusu tarehe na mwezi wa kiislamu kiufupi tu kwa faida yako na wengine "...kwa kuona mwezi au kukamilika siku 30" hivyo basi kuna nchi hazina possibility ya kuona mwezi nyakati zote wadhani wanafanyaje?Tides (kujaa na kupwa kwa bahari) haitaonekana. Dini ya Kiislamu itatetereka
Kwani mwezi ndio chanzo cha usikuItakua raha sana maana hamna usiku. Kwa tusiochoka kutafuta maisha tutaenjoy sana
Hahahahah, mi nawazaga vitu vya ajabu hadi vingine naogopa kuviweka humu, huu ubongo wangu una balaa 😂😂😂Unawezaje kuwaza kitu kama hicho aisee,
kIongOzI Wa BaaDae