Usinilaumu sana mawazo yangu ni pesa au hayo nilio yawazia....Hongera kwa kupata zawadi :bounce:.....Fazaa bana maneno yako!!
.......Yaani nina furaha hadi nashindwa kula, nahisi tumbo limejaa.
Je umewahi kupata furaha ya jinsi hii?
mmmh!.............check ur PM.
kumbe ilishika ? mi nomma.......Yaani nina furaha hadi nashindwa kula, nahisi tumbo limejaa.
Je umewahi kupata furaha ya jinsi hii?
aise siamini kama nina shabaha kiasi hiki ...Tumbo limejaa...unamaanisha kuwa umepata ujauzito??
Tumbo limejaa...unamaanisha kuwa umepata ujauzito??
tupunguzie nasi iyo furaha jamani kidogo angalau.......Yaani nina furaha hadi nashindwa kula, nahisi tumbo limejaa.
Je umewahi kupata furaha ya jinsi hii?
kama hutojali
share na sisi hiyo furaha yako
uweze pata tips za kuwafurahisha wenzio lol
Nimepewa zawadi nzuri ambayo ilikuwa my dream kila siku.This is the best gift ever!!share basi na sisi kilichokufurahisha na sisi tufurahi pamoja na wewe.........
jitahidi shoga si unajua tena ukishapata muwashawasha wa motomoto zen usizipate sasa unakufaje na kihoro ;lol!......natamani nikupunguzie shost, ila haigawanyiki.
BADILI TABIA unachanganya madawa. Preta anafanya kazi shirika la manispaa ya morogoro, huyu aloanzisha sredi anaitwa pretty yeye yupo kwenye tume ya kukusanya maoni ya katiba mpyahongera kwa furaha preta
BADILI TABIA unachanganya madawa. Preta anafanya kazi shirika la manispaa ya morogoro, huyu aloanzisha sredi anaitwa pretty yeye yupo kwenye tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya
hongera kwa furaha preta
YummyHahaaaa BADILI TABIA ameamua kumpongeza Preta itakua anamtakia furaha.
klorokwini tumegee basi alichokuPM nasie tufurahi pamoja nanyi.