Mweyekiti ACT-Wazalendo Mbozi aenguliwa

Mweyekiti ACT-Wazalendo Mbozi aenguliwa

Kwa Wote Mlio Mbozi Njooni Kwa Pm.Wekeni Mawasiliano Yenu Apo Nita Watafuta Tubadilishane Mawazo Kidogo.Na Mkitaka Kadi Nitawapeni.
Pia Msisahau Leo Tutakuwa Na Kikao Pale Shimoni Village.Muda Ni Saa Tisa Jioni.
Ahsanteni Na Karibuni

Weka vizuri maada yako ili ueleweke. Pm ni wapi maana wote hatuishi Mbozi.
 
Kwa Wote Mlio Mbozi Njooni Kwa Pm.Wekeni Mawasiliano Yenu Apo Nita Watafuta Tubadilishane Mawazo Kidogo.Na Mkitaka Kadi Nitawapeni.
Pia Msisahau Leo Tutakuwa Na Kikao Pale Shimoni Village.Muda Ni Saa Tisa Jioni.
Ahsanteni Na Karibuni

Duh mpaka unamiliki na kadi kabisa,wewe ndiye utakuwa umefanya kile alichotaka kufanywa Nkurunziza.
 
Sababu Za Kumvua Uongozi
Kuto Uzika
Ni Mchafu/hajipendi
Ulevi
Alipewa Cheo Kishkaji/hakuchaguliwa
Siyo Mtunza Siri
Yupo Ki Masilahi

Mkuu wa chama alikuwa analaumiwa na kushutumiwa na viongozi wenzake kipindi yupo CHADEMA kwa madai ya kuvujisha siri na mengine. Alipinga hayo akileta madai mengine ya kuonewa tu.
Nilifikiri kupitia uzoefu aliopitia yeye suala la kuvujisha siri angechukulia poa ni ukuaji wa demokrasia tu ndani ya chama
 
Anaitwa Mh Kambona
Na Ni Chizi Fulani Kama Baadhi Walio Tangulia Walivyo Muelezea

Ha ha ha nilimwambia dogo umepotea,uliikimbia CCM,ukajiunga CUF sasa umerudi CCM kwa kupitia mlango wa nyuma,akajibu kuwa anacho angalia ni pesa kwanza.
 
Mkuu wa chama alikuwa analaumiwa na kushutumiwa na viongozi wenzake kipindi yupo CHADEMA kwa madai ya kuvujisha siri na mengine. Alipinga hayo akileta madai mengine ya kuonewa tu.
Nilifikiri kupitia uzoefu aliopitia yeye suala la kuvujisha siri angechukulia poa ni ukuaji wa demokrasia tu ndani ya chama

Alishawahi kuwa CHADEMA huyu?.
 
Kambona ni muhunii na ni kweli aendani na kile chama huku cuf alikuwa ni mfua bendera za chama na katibu wake Rahim Mohamed yule kijana aliekuwa bongo star search ndio kiukweli tumekuwa tukiomuona yupo busy kuzinadi sera za chama!! Na mara nyingi amekuwa akijitahidi kumfichia siri huyo mwenyekiti wao lakini huyo mwenyekiti amekuwa ni mtu asiejielewa kabisa kumtoa ni sawa sawa kabisa
 
Kichwa Kina Jieleza Hapo Juu.
Mkutano Wa Kumuengua Ulifanyika Katika Ukumbi Wa Shimoni Village Na Kuhudhuliwa Na Wanachama Akiwemo Katibu Wake Ambaye Aliongoza Mapinduzi Hayo.Na Nafasi Hiyo Ili Tangazwa Kwa Anaye Taka Kugombea.Na Baadhi Ya Wajumbe Walichukua Fom.Uchaguzi Utafanyika Kesho J'mosi Katika Ukumbi Wa Champion Mda Ni Saa Tisa Jioni.

Team wasaliti wameanza kutimuana.


...... Kuna siku watamtimua kiongozi mkuu wa chama.
 
Kambona ni muhunii na ni kweli aendani na kile chama huku cuf alikuwa ni mfua bendera za chama na katibu wake Rahim Mohamed yule kijana aliekuwa bongo star search ndio kiukweli tumekuwa tukiomuona yupo busy kuzinadi sera za chama!! Na mara nyingi amekuwa akijitahidi kumfichia siri huyo mwenyekiti wao lakini huyo mwenyekiti amekuwa ni mtu asiejielewa kabisa kumtoa ni sawa sawa kabisa

Raim Acha Kujipaisha.
Wewe Na Kambona Wote Uwezo Ni Mmoja Labda Nani....Kidogo Ndo Anaweza.
Na Kwa Taarifa Yako Act Ipo Momba Na Siyo Mbozi Kama Mnavyo Komalia.
 
Kumbe mnamuogopa rahim hapa mnamtaja yumo humu na amekuwa mwiba kweli kwenu!!!ACT kweli inawapa matumbo jojoto
 
Kumbe mnamuogopa rahim hapa mnamtaja yumo humu na amekuwa mwiba kweli kwenu!!!ACT kweli inawapa matumbo jojoto

We Si Rahim?
Na Jina La Mwelu Mzeru Lime Toka Wapi?

Labda Kambona Ndo Ana Kuogopa Lakini Mimi Siwezi Kabisa!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom