Mweusi mwingine apigwa risasi na askari USA

Mweusi mwingine apigwa risasi na askari USA

Wewe umejuaje kuwa hiyo ndo sababu ya yeye kusema hivyo?

Au unadhani/ unahisi tu?
Waafidhina siku zote wanabakia kwenye misimamo yao, Twisted Tongue ndiyo lugha ya siasa kutegemeana na wakati.
 
Isijekua system ya huko marikani ipo kazini kuhakikisha kwamba Donald Trump hakanyagi ikulu, kutokana na speeches zake za kukandia weusi na namna ambavyo anaonekana kua threat kwa national security once akiassume office nahisi kama haya matukio yanatengenezwa kwa ufundi wa hali ya juu ili kuwafanya weusi kujenga chuki kwa weupe hasa mgombea huyo anayeonekana kutokua rafiki wa watu weusi. Haya sasa white house njia ni nyeupe kwa hilary clinton, kwa msaada wa sistimu ya marikani. Rais wa kwanza wa kike wa marikani.
 
Nimeshakuwa pulled over mara kibao tu na huwa ninafuata protocol.

Nikiona tu nimewashiwa taa basi nasimamisha gari pembeni ya barabara, natoa kitambulisho changu toka mfukoni halafu mikono yote miwili naiweka kwenye usukani ili afisa polisi aweze kuona kuwa sina silaha yoyote ile mikononi.

Na akija dirishani huwa sina attitude. Naongea kwa ustaarabu na hata wao huwa wastaarabu sana.

Mwisho wa siku kama nitapewa citation na itokee sikubaliani nayo basi hapo kwenye ticket kutakuwa na court date kama nitapenda kwenda kuipinga hiyo faini mahakamani.

Tatizo watu awataki kutumia common sense na PR nzuri wanapo simamishwa na Polisi, kwani ukijishusha mbele ya Polisi ukameza pride yako kuna tatizo gani/utapungukiwa nini? Tukumbuke Polisi nao ni binadamu sasa hata akikuandikia citation kama una kosa au kama huna kakuonea bado una haki ya kujitetea mahakamani sio unaanza tena kubishana bishana nao barabarani au kuonyesha dharau.

Wenzetu ambao awajui gang violence za kutisha kwenye makazi ya watu weusi ndiyo wanaweza kulaahumu Polisi - magangestors ni binadamu wakatiri sana sana - Polisi wanao shuhudia ukatiri huu kwenye makazi hayo almost kila siku iendayo kwa Mungu unafikiri wanawachukuliaje watu weusi - wanafikiri wako violent by default ndio maana Polisi wanakua apprehensive masaa yote wanapo taka ku apprehend waswahili - Polisi awezi ku foretell jamaa ata react vipi na ana silaha gani?

Tunaweza kuwalahumu ma Polisi wa huko Marekani lakini wakati mwingine wanafanya kazi kwenye mazingira magumu, hapa siwatetei baadhi ya Polisi ambao ni ma-racists by default kama kundi la KK na wengine.
 
Kwa nini unahukumu watu usiowaelewa? Mambo mengine ni bora tu ukae kimya kuliko kujifanya jaji wa mambo usiyoyaelewa, unafikiri kuna mtu anayependa kufa? Au unafikiri kwa kuongea hivyo ndiyo Mzungu atakuona wewe better nigga?
Kwa hiyo wewe ndo unayajua mambo ya wamarekani??
Warudi afrika, kule sio kwao vinginevyo wataendelea kuuliwa tu!
 
kwa mtoa habari alivyoileta na kuhusisha matukio yaliyotokea hivi karibuni..unaweza kuhitimisha na kusema ''Tatizo ni Weusi''..
japo inaweza kuwa si kweli...
Umeninukuu vibaya.
Nimemaanisha "tatizo ni rangi ya ngozi ya miili yao" au uweusi wao.
 
Umeninukuu vibaya.
Nimemaanisha "tatizo ni rangi ya ngozi ya miili yao" au uweusi wao.
sijakunukuu wala kukuelewa vibaya...nilimaanisha hivyo hivyo ''uweusi''..ila kwa namna ulivyoiandika..
 
Ndiyo, lakini si kila mzungu yuko hivyo mbona wengine wanaoana na waswahili.

Sasa huyu mswahili ambaye alikuwa ameshikilia silaha wana mwambia atupe silaha chini anakataa - hivi kwa akili za kawaida walitaka Polisi wa act/react kivipi - ukiwekea maanani kwamba jimbo hilo hilo wiki iliyopita Polisi 11 waliuuwawa na wengine kujeruiwa vibaya sana.
ndo maana nkaweka neno "baadhi" mkuu always naepuka kuhukumu watu wote kwa dhambi za wachache
 
Jaman nao kwan wanyanyasike ivyo, si warud nyumban tu! Mashamba mbona yapo meng afrka
warudi nyumbani kwao wapi wakati huko ndoo kwao!!! Ni saw na kumuambia Mohamed Deweji arudi Kwao India wakati kwao ni Singida
 
sijakunukuu wala kukuelewa vibaya...nilimaanisha hivyo hivyo ''uweusi''..ila kwa namna ulivyoiandika..
Pamoja sana!!!
Ni kosa kuwa mweusi kwa maana kanuni za udhibiti wa makosa ya kijinai hai-aply kwao
 
Back
Top Bottom