Post nzuri ila ulipokosea ni kukitelekeza kijiji chako cha ujamaa.hivi unamuhukumu vipi mtoto Na kumuadhibu kisa mama yake alikuzingua.
Umelishwa limbwata au zuzu wewe.
Iwe limbwata, iwe uzuzu lakini nimetambua ni nini maana ya kupenda ukapendwa
Post nzuri ila ulipokosea ni kukitelekeza kijiji chako cha ujamaa.hivi unamuhukumu vipi mtoto Na kumuadhibu kisa mama yake alikuzingua.
Umelishwa limbwata au zuzu wewe.
Umetoka kutuambia hutaoa mwanamke mwenye mtoto japokua wewe una baby mama umemtelekeza...naachaje kuconclude kwa mfano...Usiweke conclusion kwny vitu usivyovijua....
Nakuhamu...Wanaume tumegeuka kuwa sperm donnors.
Unanihamu aje?Nakuhamu...
Endelea kuropoka tu....unadhani wote tuliokuwa na watt tumezaa nje ya ndoa km wwUmetoka kutuambia hutaoa mwanamke mwenye mtoto japokua wewe una baby mama umemtelekeza...naachaje kuconclude kwa mfano...
Werevaaa....mbna unajicontradict ss umetoka kusema umezaa ila hutaoa mwenye mtoto...mara saivi unaruka kimanga,vipi umedata ama vp......unadhani kila mtu mzaa nje kama wewe Hehehe unalooo babuu limekugandaaa....Endelea kuropoka tu....unadhani wote tuliokuwa na watt tumezaa nje ya ndoa km ww
Amen! Nashukuru sana mkuu! Yaani utadhani unanifahamu hahahhaha....let me keep my fingers crossed!Kama ni muumini, sali and have faith. Mambo yote mazuri yanakuja kwa imani, in my view and faith.
Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka, wewe sio mwanamke wa hivi hivi. Uko civilized and may be, humble. Hiyo inaongeza chances zako za kukutana na mtu anayefanana na wewe. So, again, don't worry.
Hahaahaha jibu lako limenichekesha sana!Iwe limbwata, iwe uzuzu lakini nimetambua ni nini maana ya kupenda ukapendwa
Uelewa wako upo chini sana naona napoteza muda tuWerevaaa....mbna unajicontradict ss umetoka kusema umezaa ila hutaoa mwenye mtoto...mara saivi unaruka kimanga,vipi umedata ama vp......unadhani kila mtu mzaa nje kama wewe Hehehe unalooo babuu limekugandaaa....
Polee hawa shemeji sijui mawifi kwa issue kama hii huwa na maneno maneno sanaShemeji is 20 yrs.... Lakini nilimshamsamehe tu... Yaani yeye kila kitu ni negative..
Kwa upande wangu mtoto wa 7 yrs akitoka shule alafu akafua socks zake yy mwenyewe kwanza kisha dada au mimi nije nizikague na kuzirudia km amefua chini ya kiwango chake ni sahihi. Jamani eyi hapo ataguna na kusema *mmmmh jamani shem* alafu anaingia ndani anakuwa km amenuna vile.
Huuuuuuuu yani kuna mambo yanachosha kweli.
Hupaswi kuondka dear, ukateseke na wanao kisa nn, achovye tuuuu akimaliza atarudiSo dangerous and painful.... Maamuzi yangu ni kwamva naweza ondoka niwapishe
MTU mpaka arudi nyuma INA maana wewe ndio uliiingilia penzi la watu.
Ww ndo huna maana mkuu, ww ulikuwa unazaa na mawe?Nina watoto ila kuoa mwanamke mwenye mtoto strictly prohibited.
Kitaeleleweka hapo hapo ntamng'oa mtu meno bila ganzi hapana chezea asali yngu hahhahahaaaaVipi kama mkikubaliana kabla akaja kukiuka makubaliano baada ya ndoa? Mfano mlikubaliana mtoto alelewe na mama yake, then baada ya ndoa jamaa anataka kumleta mwanae? Au mlikubaliana kwamba mawasiliano yote yapitie kwako, mara baada ya ndoa unakuta siyo tu wanawasiliana kwa kificho bali hukutana mara kwa mara na kula bata!?
Haya mwenye uelewa wa juu... HahahahUelewa wako upo chini sana naona napoteza muda tu
Hakuna mimba ya bahati mbayamwanamke alipata mimba kwa bahati mbaya
Pole sana story yako ilikuwaje madam.Ni kweli usemayo,kikubwa ni kuomba Mungu tu! I see nimejisikia kulia nimekumbuka kila kitu kilichonitokea miaka 12 nyuma kwa dakika chache tu nimejiona nilivyokondeana wakati huo Ooh Allah !!