Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

Huko Instani Na Tiktoktini Gen Z wameanzisha kampeni ya " Free Juma Jux ". Wanasema Juma Jux anatumikishwa kwenye ndoa yake na body language yake ndio msema ukweli..
View attachment 3648844
Kuna aina fulani ya watu kuwa kama wamefeli katika maisha yao na kutaka kuishi ndoto zao kupitia ma celebrity.

Watu hawa wanatamani kuishi kama hao ma celebrity, ila hawawezi, kwa hiyo wanaishia kuwakosoa tu.

Wanajifanya kama wanawajua sana ma celebrity. Wakati hawawajui ki jivuo, na hao ma velebrity hata hawawajui hawa watu.

Wanaishi kwa uraibu wa kuwafuatilia sana ma celebrity. Ni uraibu kama wa madawa ya kulevya.

Hii ni aina fulani ya ugonjwa wa akili na projection fulani ya kuziweka failures za mtu ziende kuwa kwa celebrity.

Mtu aliye busy na maisha yake, ana kazi zake nyingi, ana biashara zake, ana mambo mengi ya kupanga kwenye kuboresha familia yake, anajielewa, anaelewa uhuru wa mtu binafsi hata wa celebrity kuwa na maisha yaje, anaanzaje kumfuatilia Jux kihivyo?

Muda huo anaupata wapi?
 
Back
Top Bottom