Mwenzenu nimevurugwa sijielewi

Mwenzenu nimevurugwa sijielewi

Sista

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2013
Posts
3,208
Reaction score
1,038
Jana nilitoka na shemeji wenu out kucerebrate baada ya posa yake kupokelewa kwa wazazi wangu baada ya urafiki wa miezi miwili. Tukapanda zetu daladala. Ndani ya daladala
kulikuwa na viti viwili tu vitupu.
Mbele kwa dereva na hapo kwa
kondakta; mchumba wangu akaketi mbele na
msichana flani mzuri na slender kuliko mie bonge. Cha kushangaza nikaona shemeji yenu
anamuongelesha yule m-diva kila saa na kabla ya diva kushuka wakapeana namba za simu nikauchuna huku naumia moyoni. Kituo kilichofata tukashuka na kuanza kula bata.
Mara simu ya shem wenu ikabip mara kadhaa akawa anaichunia. Nilipoichungulia iliandika 'mrembo'. Baada ya muda akaamua kuipiga then akaniambia ni ofisini anahitajika kuna gharula. Fasta akasimama akanikiss, akanipa nauli yangu buku na kuniamuru nirudi nyumbani. Kuanzia siku hiyo namba ya 'mrembo' ikipigwa naambiwa ni ya sekretari wetu tunamwitaga hivyo kwa yuko too artificial ameniambia naitwa kazini. WanaMMU mwenzenu nimevurugwa sijui nifanyeje. Nisaidieni mwenzenu nimevurugwa.....uwiii
 
mie maisha ya kuishi ka masahaka huwa sipend hata kidogo.
wewe umeona muvi yote A-Z halafu unaanza kujiumiza akili wahy not telling him straight forward??
unaogopa kitu gani?? mwambie wazi na mwambie you are ready to call that marriage off kama anatabia za aina hiyo.

Kwangu mimi mchumba asokuwa mwaminifu siwez kumvumilia, nitamvumilia mume/mke lkn mchumba hapana wahenga walisema THE BEST DIVORCE IS THAT BEFORE MARRIAGE.
 
Urafiki wa miezi miwili posa tayari...afu tunajiuliza ndoa za siku hizi hazidumu kwa nin?

Me nlijua umejenga mabondeni au landlord anataka mkwanja na huna so ukatupiwa vitu nje! Kikwetu kwetu ukisema umevurugwa means umelazimishwa kuhama place unaishi.
 
Yaani majibu unayo kua jamaa hakufai atakupa stress tu ila bado unavumilia,ila mlikua fasta yan week mbili tu posa tayar jaman,hakuna hata kuchunguzana....sasa hiyo ni ndan ya week mbili kakufanyia hizo dharau mkifikisha mwaka hali yako itakua mbaya sana rafiki,bora ukimbie...pia usisahau matumizi ya ndom utakapokutana nae maana c wa kuaminika huyo.
Hizo ni dharau..nawe unamoyo umepga kmya hata kumchimba biti kidogo au ndo kubembeleza ndoa?
 
Jana nilitoka na shemeji wenu out kucerebrate baada ya posa yake kupokelewa kwa wazazi wangu baada ya urafiki wa miezi miwili. Tukapanda zetu daladala. Ndani ya daladala
kulikuwa na viti viwili tu vitupu.
Mbele kwa dereva na hapo kwa
kondakta; mchumba wangu akaketi mbele na
msichana flani mzuri na slender kuliko mie bonge. Cha kushangaza nikaona shemeji yenu
anamuongelesha yule m-diva kila saa na kabla ya diva kushuka wakapeana namba za simu nikauchuna huku naumia moyoni. Kituo kilichofata tukashuka na kuanza kula bata.
Mara simu ya shem wenu ikabip mara kadhaa akawa anaichunia. Nilipoichungulia iliandika 'mrembo'. Baada ya muda akaamua kuipiga then akaniambia ni ofisini anahitajika kuna gharula. Fasta akasimama akanikiss, akanipa nauli yangu buku na kuniamuru nirudi nyumbani. Kuanzia siku hiyo namba ya 'mrembo' ikipigwa naambiwa ni ya sekretari wetu tunamwitaga hivyo kwa yuko too artificial ameniambia naitwa kazini. WanaMMU mwenzenu nimevurugwa sijui nifanyeje. Nisaidieni mwenzenu nimevurugwa.....uwiii
itakua shem wetu anafanya burchelor party kabla ya kuingia kwenye ndoa!
so give him a chance its for better...
 
Acha Mapepe weweeeeeee! Unazania kupata NDOA mchezo!!!!!!!!!!!!??????????? HAKUNA MWANAUME WAKO PEKE YAKO! Jua kucheza na nafasi yako bibi! Huwezi kukaba nafasi zote! KUNA MKE NA VIBURUDISHO!!!!!!1 Upo hapo?

Hapo ulivomuona kwa dala ndo wivu umekushupaaa je huko kazini na kwengineka USIPOKUWA NAE wajua anafanya nini? Mbona kakuposa sasa na asiwapose hao warembo? Nyoooooooo!

Wewe tulia hapo, jiamini namba 1, ni wewe, namba 2 wewe, namba 3 weee, zinazobakia waachie hao wanaotaka KUMBINAFSISHA HUYO BWANA KWENYE DALA DALA!!!!!!!!! (Ukichagua buzi chagua lililonona sio kwenye dala jamani! haaaaaaaaa! Natania tu jamani)

Habari ndo hio! KABA NAFASI YAKO ACHA KUFOCUS NAFASI ZA WENZIO!!!!!!!! LAZIMA TUGAWANE UMASIKINI CHEZEYA!!!!!!! Ukijifanya mjuaji WANAKUBINAFSISHIA HIKO KIBWANA CHAKO!!!!!!!!! Mjini hapa!!!!!!!!
 
ana miaka mingapi huyo shem wetu!?? Hata wewe pia tupe umri wako.
 
Jana nilitoka na shemeji wenu out kucerebrate baada ya posa yake kupokelewa kwa wazazi wangu baada ya urafiki wa miezi miwili. Tukapanda zetu daladala. Ndani ya daladala
kulikuwa na viti viwili tu vitupu.
Mbele kwa dereva na hapo kwa
kondakta; mchumba wangu akaketi mbele na
msichana flani mzuri na slender kuliko mie bonge. Cha kushangaza nikaona shemeji yenu
anamuongelesha yule m-diva kila saa na kabla ya diva kushuka wakapeana namba za simu nikauchuna huku naumia moyoni. Kituo kilichofata tukashuka na kuanza kula bata.
Mara simu ya shem wenu ikabip mara kadhaa akawa anaichunia. Nilipoichungulia iliandika 'mrembo'. Baada ya muda akaamua kuipiga then akaniambia ni ofisini anahitajika kuna gharula. Fasta akasimama akanikiss, akanipa nauli yangu buku na kuniamuru nirudi nyumbani. Kuanzia siku hiyo namba ya 'mrembo' ikipigwa naambiwa ni ya sekretari wetu tunamwitaga hivyo kwa yuko too artificial ameniambia naitwa kazini. WanaMMU mwenzenu nimevurugwa sijui nifanyeje. Nisaidieni mwenzenu nimevurugwa.....uwiii
Siku nyingine jifunze vizuri utunzi Sista.
 
Last edited by a moderator:
Acha Mapepe weweeeeeee! Unazania kupata NDOA mchezo!!!!!!!!!!!!??????????? HAKUNA MWANAUME WAKO PEKE YAKO! Jua kucheza na nafasi yako bibi! Huwezi kukaba nafasi zote! KUNA MKE NA VIBURUDISHO!!!!!!1 Upo hapo?

Hapo ulivomuona kwa dala ndo wivu umekushupaaa je huko kazini na kwengineka USIPOKUWA NAE wajua anafanya nini? Mbona kakuposa sasa na asiwapose hao warembo? Nyoooooooo!

Wewe tulia hapo, jiamini namba 1, ni wewe, namba 2 wewe, namba 3 weee, zinazobakia waachie hao wanaotaka KUMBINAFSISHA HUYO BWANA KWENYE DALA DALA!!!!!!!!! (Ukichagua buzi chagua lililonona sio kwenye dala jamani! haaaaaaaaa! Natania tu jamani)

Habari ndo hio! KABA NAFASI YAKO ACHA KUFOCUS NAFASI ZA WENZIO!!!!!!!! LAZIMA TUGAWANE UMASIKINI CHEZEYA!!!!!!! Ukijifanya mjuaji WANAKUBINAFSISHIA HIKO KIBWANA CHAKO!!!!!!!!! Mjini hapa!!!!!!!!

Me memiss wewe! Sista moyo wako unasemaje? Kama bado umewasha taa za kijani kila la kheri,kama hazard act now before its too late ukaja omba ushauri kuhusu michango ya watu na zawadi za kitchen party
 
Last edited by a moderator:
aiseeeeeh!!!!!!! miezi miwili mnatangaza ndoa?

duh!!!!!! mimi naona hayo ni maajabu...........

halafu kuna wanawake mpo wapole sana , hapo angekuwa Evelyn Salt wangu sijui kungetokea nini...........
 
Last edited by a moderator:
Acha Mapepe weweeeeeee! Unazania kupata NDOA mchezo!!!!!!!!!!!!??????????? HAKUNA MWANAUME WAKO PEKE YAKO! Jua kucheza na nafasi yako bibi! Huwezi kukaba nafasi zote! KUNA MKE NA VIBURUDISHO!!!!!!1 Upo hapo?

Hapo ulivomuona kwa dala ndo wivu umekushupaaa je huko kazini na kwengineka USIPOKUWA NAE wajua anafanya nini? Mbona kakuposa sasa na asiwapose hao warembo? Nyoooooooo!

Wewe tulia hapo, jiamini namba 1, ni wewe, namba 2 wewe, namba 3 weee, zinazobakia waachie hao wanaotaka KUMBINAFSISHA HUYO BWANA KWENYE DALA DALA!!!!!!!!! (Ukichagua buzi chagua lililonona sio kwenye dala jamani! haaaaaaaaa! Natania tu jamani)

Habari ndo hio! KABA NAFASI YAKO ACHA KUFOCUS NAFASI ZA WENZIO!!!!!!!! LAZIMA TUGAWANE UMASIKINI CHEZEYA!!!!!!! Ukijifanya mjuaji WANAKUBINAFSISHIA HIKO KIBWANA CHAKO!!!!!!!!! Mjini hapa!!!!!!!!

miss you...........

na wewe siyo mkabaji?
 
Huyo mchumba wako inaonekana hajatulia ila bado unayo nafasi either kuendelea naye au kumuacha, listern to your heart.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom