Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
Kila siku nasema mwanamke ukimuonyesha unampenda utajuta atakuendesha kama gari bovu,hawa watu wanapenda kuendeshwa kibabe na kupigwa,na mambo ya kuitana itana baby mara sijui mchumba nooo,muonyeshe mapenzi yako kwake ila weka limit,baby sijui kwa siku muite mara moja au mara 2 na mchumba kama unatumia hilo neno kwa siku muite mara moja,na hamna kucheka cheka nae muda wote coz heshima inashuka na inabidi mtoto wa kiume uwe na msimamo akizingua piga makofi akili ikae sawa....
Mwanamke inabidi ukikaa nae umuweke kwenye mazingira ya kuogopa kufanya kitu fulani kwa sababu akifanya anajuwa lazima itakula kwake au atabamizwa,ukiishi hivi na mwanamke hutokuja kuona anakupanda kichwani kama huyu anavyokufanyia now...
Ok let me help u out solution ya tatizo lako kata mawasiliano for now acha usitume message na usipige simu wala usimtafute na mtumie message mwambie kwamba umemueleza hali halisi na umekiri makosa yako kwako kama amepata message na hajibu mwambie asiendelee kuangaika na hutomtafuta wala hutomtumia tena message na wala asiangaike kujibu message hata moja,then ukishatuma hiyo kaaa kama siku 3 hivi alafu mpigie simu au mtumie message na ukiona hajajibu au still hapokei ujue huyo hana mpango na wewe na wala hakupendi then mpotezee faster na tafuta mwanamke mwingine mzuri kumzidi...Simple na hivi ndio tunavyoishi na hawa wanawake...
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
dah natumia simnw ila ningekuwa kwenye computer ningekupa like kwa herufi kubwa mkuu umeonhea pointi tupu