Temporary01
JF-Expert Member
- May 12, 2011
- 260
- 70
- Thread starter
- #41
its better to take your mouth than to talk foolish in a mass of great thinker!
kama hauna commet kaa kimya wenye upeo wachangie!!!
asante mkuu kwa majibu murua.
its better to take your mouth than to talk foolish in a mass of great thinker!
kama hauna commet kaa kimya wenye upeo wachangie!!!
nashukuru mkuu, nimesha mueleza ukweli woote kwenye msg. Hajajibu hata moja japo nimetuma msg nyingi sana na naendelea ktuma. Nahisi wala hazisomi coz alinipigia simu analia akanambia nisimtumie tena msg then akakata.
Nashukuru kwa ushauri wenu wadau.
Wanawake wana vituko sana. Ngoja nijipange nifanye uamuzi mgumu, maana naona dalili mbaya.
Kupenda kwa dhati nako kuna madhara yake. Nimechelewa kuoa kwasababu uhusiano wangu wa kwanza ulivunjika kwa mambo yasoeleweka shauri ya vitimbi vya wanawake. Niliumia sana, Ilinichukua miaka miwili kuanza kufikiria tena suala la mahusiano. Sikubali kurudia kosa.
Ndg yangu fanya makosa yote Duniani ila usifanye Kosa katika Kuoa, angalia usije ukajutia maisha yako yoote, maaana Mwanamke asiyetaka suluhu kwa Mambo madogo kama Hayo , ukimwoa atakusumbua haswa, aangalia sana ndg yangu
Pole mkuu Jakamoyo jifunze kuwa na subira na kujipa likizo katika mahusiano. Uzoefu unaonesha kuna wanaume au wanawake wana wapenzi zaidi ya mmoja sio kwa sababu si waaminifu ila issue ni kwamba unambembeleza unayempenda kwa muda fulani hakuelewi hadi unaamua ku give up, siku ukianzisha mahusiano na mwanamke mwengine ata kama wa mwanzo hajui unakuta huyo wa mwanzo anarudi na kutaka muondoe tofauti zenu.
Mbona wanawake tumejaa!
Huyo analeta ngebe kwa kuwa anajua huna ubavu wa kumuacha.
Na ukiendelea kumchekea...atakupanda kichwani.
Sisi wanawake tunajuana bhanaaaa...
Mbona wanawake tumejaa!
Huyo analeta ngebe kwa kuwa anajua huna ubavu wa kumuacha.
Na ukiendelea kumchekea...atakupanda kichwani.
Sisi wanawake tunajuana bhanaaaa...