Temporary01
JF-Expert Member
- May 12, 2011
- 260
- 70
Ahsdbdjeibdhhsj
Pole sana! Kwanza kili kosa! Mwambie ukweli kama anania atarudi tuh! Hasiporud ujue alikuwa anatafta sababu!
Peleka posa kwa Mariam na tangaza mipango ya harusi. Mwanamke mwenye wivu ni sumu ya panya. Uzuri si hoja moyo ndo zaidi
Mbona wanawake tumejaa!
Huyo analeta ngebe kwa kuwa anajua huna ubavu wa kumuacha.
Na ukiendelea kumchekea...atakupanda kichwani.
Sisi wanawake tunajuana bhanaaaa...
Ulifanya kosa kubwa kutofunguka vyote pale ulipopata nafasi.. Sababu ulioitoa kwamba uliogopa kumuumiza haina mashiko kwa kuwa hukuwa na mahusiano nae mwanzo (alikukataa so ulikuwa free kudate).. Kwa hiyo ungemueleza wazi bila ya kuficha kitu..
Ushauri wangu kama hizo msg zinaonyesha tarehe na kama ni kweli mawasiliano hayo yalikuwa kipindi ambacho hukuwa nae karibu basi jaribu kumuelewesha kwanza kwa kumuambia ukweli na kisha kuzichambua tarehe ili aone ukweli wako..
nashukuru mkuu, nimesha mueleza ukweli woote kwenye msg. Hajajibu hata moja japo nimetuma msg nyingi sana na naendelea ktuma. Nahisi wala hazisomi coz alinipigia simu analia akanambia nisimtumie tena msg then akakata.
Mbona wanawake tumejaa!
Huyo analeta ngebe kwa kuwa anajua huna ubavu wa kumuacha.
Na ukiendelea kumchekea...atakupanda kichwani.
Sisi wanawake tunajuana bhanaaaa...
Madame B kweli wanawake ni wengi na wanavitimbi sana hasa wakijua wanapendwa kweli.
Tatizo sio rahisi kumuacha mtu ambae bado unampenda na ukiangalia mmetoka mbali na mmeshafanya mengi.
Kwa ninavyo jijua, itanichukua si chini ya miaka miwili kumpata mwingine atakae niridhisha. Najijua complication zangu katika kujenga mahusiano na mtu, ndomana naomba msaada nisimpoteze huyu.