Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,161
khaa kwako nimeshapenda jamani,siwezi kuwa njia mbili nimeshakupenda mazima
Nimejiunga wanajamii forum,natumaini huku mko poa ,nimewaletea zawadi
mkuu ndo hvo
unanionea jamani,mbona unautesa moyo wangu hivo,naomba usinisemee kwa mods,kabakana yeye mbona alishanikana na kuniambia
amempa mmewe 100% so najisumbua...ila we ni kila kitu kwangu
Kweli eeeh, ningekuruhusu hug lakin kule nimekuona umemuita kabakaba na kumpatia offer..........mh naogopa, imebidi niuzuie moyo wangu hata kama uko hoi bin taaban,
sijakuona mapema,nitaikanusha kauli yangu na pale nimeona kabakabana ana mme wake,ila mi kwako tu bin taaban,nihurumie mwenzio