Mwenzake anajifunika shuka mapema.

du! Tatzo liko kwenye uume basi.kama vp mvizie amelala unyofoe uume wake kwenye boxer gafla! akija kuhamaki umeshauona..
 
Nimepokea taarifa toka kwa huyo kaka kuwa uume wake una macho na mdomo ndo maana anaogopa akiuona atamkimbia
 
Jamani kisa hiki kimemkuta dada mmoja aliyeko ughaibuni, naomba tukisome na kukielewa.
Leo yeye, kesho wewe.

mimi nilisha wahi kuwa na boyfriend
ambaye alinitoa usichana wangu,kweli yule
kaka alikuwa ananiandaaa vizuri pamoja na
uwoga wangu,maana ndio nilikuwa mara ya
kwanza lakini kuniandaa kwake kulinifanya
nisisikie maumivu makali kama wasemavyo
kuwa kuna maumivu wakati wakutolewa
bikira,bahati mbaya tulitengana wakati wa
kuendelea na elimu ya juu,mimi nikaja ulaya
kimasomo nayeye akabaki.
Sasa,kweli nimekutana namtu ambaye kwa
kweli nampenda saana ila tatizo lake lipo
kitandani,kwanza ni nadra sana mimi
kumuona uume wake,hataki hata tuoge
woote,anajifichaficha tuu,ila saa nyingine
nalazimisha nikimuona ameingia bafuni
naingia na mimi kwanguvu ila hataki
anakuwa mkali,anasema eti mi napenda
mambo ya kitoto,akipanda kitandani
anajifunika upesi tena yupo na bukta,swala
la kuandaa mwanamke hajui kabisa.
Saa nyingine namwambia kabisa mimi
napenda unishike hapa au unifanye ivi
anakuwa mkali eti mi sikui nipo kitoto tuu
sikuzote,mara ya kwanza nilidhani labda
sababu hatujazoweana nikawa navumilia
lakini nimejaribu kumsaidia haelekei
kusaidika,hata mi nikitaka kuchezea au
kushika uume wake hataki yaani tukiingia
kitandani utazanai mtu na kaka yake.
Yaani yeye sijui anapataje hisia za
sex,nakuja kustukia tuu ananipandia juu na
uume wake umesha simama wakati huo
mimi sipo tayari kwa tendo basi anaanza
kunitumbukizia tuu,uke mkavu kabisa na
baki naumia tuu,namuambia naumia jamani
nipo mkavu,wala hasikii yeye anaendelea
tuu,mpaka atakapo maliza,kweli nateseka
sana mpaka navimba uke kama sikumbili au
tatu hivi nipo nauguza uke.sioni raha ya
tendo hilo kabisa.
Nampenda sana,mwanzo sikuona kama ni
tatizo nilijuwa ntaenda nae taratibu
nikimfundisha then atanielewa ila sasa
nimekata tamaa.
Natamani sana angesoma safuu
hii,ingemsaidia sana.
Naombeni ushauri mana nimefikia hatua ya
kuachana nae.maana sina raha ya tendo la
ndoa.
Mdau
Happy Wa Mama

Ameripoti polisi na kwenye vyombo husika? Manake huko ni kubakwa! Na kwanini mpaka leo yuko nae na asimteme? kwa uelewa wangu mdogo, mapenzi au kupendana kunanogeshwa na tendo la kufanya mapenzi na mkaridhishana, sasa yeye anasema anapenda, anampenda kivipi? Au njaa zake za hela tu?? Kwa tanzania wanaume wenye tabia hiyo ni wachaga (samahani wachaga), lakini habari ndo iyo!
 
ehe he he he he he, wachaga mshapewa huku la kwenu.
Kumbe na mihela yenu yoooote mwabaka, ngoja nijiopolee mnyamwezi full mahaba

Ameripoti polisi na kwenye vyombo husika? Manake huko ni kubakwa! Na kwanini mpaka leo yuko nae na asimteme? kwa uelewa wangu mdogo, mapenzi au kupendana kunanogeshwa na tendo la kufanya mapenzi na mkaridhishana, sasa yeye anasema anapenda, anampenda kivipi? Au njaa zake za hela tu?? Kwa tanzania wanaume wenye tabia hiyo ni wachaga (samahani wachaga), lakini habari ndo iyo!
 
Bora hata mkurya wao husema, 'rara nikurenge'
kama hujajiandaa mwenyewe akishasema hayo anazama kama nyambizi linalokwepa maadui.
 
kungekua na haki za uke kama zilivo haki za binadamu shost ungekua saivi jela loh!
kwann kuutesa uke wako ivo jamani loh!
mi hata cwezi jamani kweli tuko tofauti saana mana mm navionea huruma sana viungo vyangu so ingekua mm ww ningesha muacha zamani saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana
 
kungekua na haki za uke kama zilivo haki za binadamu shost ungekua saivi jela loh!
kwann kuutesa uke wako ivo jamani loh!
mi hata cwezi jamani kweli tuko tofauti saana mana mm navionea huruma sana viungo vyangu so ingekua mm ww ningesha muacha zamani saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana
Lakini anasema wameshakwisha achana teyari. Nalog off
 
Back
Top Bottom