sukariyawarembo
Senior Member
- Aug 2, 2019
- 167
- 117
Kuna msichana niko nae kwenye mahusiano kwa muda sasa.
Kawaida yake huwa haniombi pesa sana,ni mpambanaji sana japo biashara zake ni ndogo ndogo.
Juzi kaniomba 20000 nimkope atanirudishia ndani ya wiki moja.
Nawaza sijui nimpe au nisimpe maana kumdai demu wako ni tabu sana halafu tena nisimdai naona 20 yangu itapotea bure
NB; mi so mtu wa kuhonga ovyo na mgumu sana kutoa hela kwa mtu yeyote yule hata awe ndugu angu.
Kawaida yake huwa haniombi pesa sana,ni mpambanaji sana japo biashara zake ni ndogo ndogo.
Juzi kaniomba 20000 nimkope atanirudishia ndani ya wiki moja.
Nawaza sijui nimpe au nisimpe maana kumdai demu wako ni tabu sana halafu tena nisimdai naona 20 yangu itapotea bure
NB; mi so mtu wa kuhonga ovyo na mgumu sana kutoa hela kwa mtu yeyote yule hata awe ndugu angu.
