Mwenyewe anajua??

Mwenyewe anajua??

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,141
Reaction score
951
IMG00030-20110513-0939.jpgIMG00030-20110513-0939.jpg





 
kuna jambo mtu ukilifanya kama haliingii akilini mtu husema "acha utoto"
 
kuna jambo mtu ukilifanya kama haliingii akilini mtu husema "acha utoto"

Samahani kiongozi wangu....
Kwenye picha hizo mbili utoto ni upi hasa?
Lol..............................................................
 
kwenye picha zote mbili kuna utoto...
 
Utoto ni upi?NADHANI UTOTO NI (300=mia mbili),very good!
 
ngoja niangalie vizuri...naona kama tarakimu na maneno kuna mushkeli kidogo!!.....hebu ngoja nipate :coffee: halafu nirudie tena kusoma
 
Back
Top Bottom