Mwenyekiti wangu(CCM), hata wewe baki na nafasi moja ili kudhihirisha nia njema uliyonayo

Tinde nsalala

JF-Expert Member
Feb 12, 2017
248
253
Kwa kawaida,mtu au kiongozi utakaye kusimamia jambo jema na uonalo linafaa kuwa ni bora ukawa ww ndiye mfano.

Rais wangu na m/kiti pia wa chama chetu nakuomba na kukushauli pia hata ww unapaswa kuachia ngazi MOJA ili uwe mfano mwema kwa unaowaongoza.

Bila kufanya hivyo hakika maana nzima ya dhamila njema kuhusu jambo hilo itakuwa haina maana kwalo.Italeta ukakasi pia kwa wanachama.Kwa sababu atakaye jambo hilo liwe yeye mbona anazo kofia mbili?!

Hujachelewa kiongozi wangu kuwa mfano.Binafsi nashauli ili ww uwe mfano yakupasa pia uachane na ama uenyekiti wa chama au uachane na .......!

Nakutakia uamuzi mwema.
 
Kwa kawaida,mtu au kiongozi utakaye kusimamia jambo jema na uonalo linafaa kuwa ni bora ukawa ww ndiye mfano.

Rais wangu na m/kiti pia wa chama chetu nakuomba na kukushauli pia hata ww unapaswa kuachia ngazi MOJA ili uwe mfano mwema kwa unaowaongoza.

Bila kufanya hivyo hakika maana nzima ya dhamila njema kuhusu jambo hilo itakuwa haina maana kwalo.Italeta ukakasi pia kwa wanachama.Kwa sababu atakaye jambo hilo liwe yeye mbona anazo kofia mbili?!

Hujachelewa kiongozi wangu kuwa mfano.Binafsi nashauli ili ww uwe mfano yakupasa pia uachane na ama uenyekiti wa chama au uachane na .......!

Nakutakia uamuzi mwema.
CCM msikubali marekebisho ya Katiba yenu, mtakwisha!!!
 
Vijana wa lumumba mje mtoe majibu hapa,kama kuna ulazima wa mwenyekiti wenu kubaki na vyeo viwili?
 
Muache kwanza atuoneshe vyeti vya Bashite akimaliza hilo basi aachie na yeye nafasi ya uenyekiti Kwa wengine.

Na yeye abakie na kofia moja tuu ya udict...uchw...au
 
hajitambui anadhani wana ccm wote walizungusha kama bashite eti yeye anataka vyeo viwili wenziwe anasema stop si ni upuuzi wa mwaka huu yeye anakula huku na huku wenzake anawabanie kakuta chama kimembeba kumfikisha alipo sasa ili aendelee kula hawataki waliomfikisha alipo uppuzi baba bashite aache ujinga
 
Back
Top Bottom