chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,696
- 22,728
Namsikiliza hapa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa mkoa wa Dar es Salaam kupitia BBC, anakanusha kuwepo kwa punguzo la bei kwa bidhaa kwenye maduka ambayo mkuu wa mkoa wa Dar Ndg Makonda ameyataja.
Makonda alitoa maagizo ya kuwepo punguzo ili watu wajipatie bidhaa zikiwemo mavazi kwa ajili ya kusheherekea anakosema Makonda kwamba ni kupungua kwa maambukizi ya Covid-19.
Anasema wao hawana taarifa na hayo maagizo na wala hakuna mazungumzo yaliyofanyika jinsi gani watafidiwa hivyo wataendelea kuuza kwa bei zao za zamani.
Makonda alitoa maagizo ya kuwepo punguzo ili watu wajipatie bidhaa zikiwemo mavazi kwa ajili ya kusheherekea anakosema Makonda kwamba ni kupungua kwa maambukizi ya Covid-19.
Anasema wao hawana taarifa na hayo maagizo na wala hakuna mazungumzo yaliyofanyika jinsi gani watafidiwa hivyo wataendelea kuuza kwa bei zao za zamani.