nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
Yaani kujitoa CCM unaenda kutangazia hotelin, unalipia conference pamoja na refreshment. huyu bora ameondoka mapema haendani na kasi ya Magufuli. Magufuli kafanya mkutano mkubwa na wafanyabiashara wakubwa hapa nchini kafanyia ikulu. aende tu huko kwa mafisadi wenzie
hata c yenyewe haiendani na kasi ya makufuli....