Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake wa ACT Wazalendo Janeth Ritte ametoa wito kwa wanawake kuungana na chama cha ACT Wazalendo ili kuitoa CCM madarakani kwa kile alichodai kuwa baadhi ya matukio yanayotokea nchini yanawaathiri wanawake ikiwemo kupotea kwa watoto
" Wanawake amabao ndio wenye chanagamoto nyingi ninaamini tunaenda kuikataa CCM ninaamini tunaenda kuungana na ACT Wazalendo ili tutengeneze Jeshi kubwa la wanawake, twendeni tukafanye mabadiliko tuseme inatosha watoto wetu wanapotea, wanawake wa Tanzania mko wapi? hatuwenzi kuendelea kulia hawezi kufanya chochote, wanawake wa Tanzania tuinuke tuikomboe Tanzania, aluta continuea"- Janeth Ritte
Ritte ameyasema hayo juni 18, 2025 kwenye mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Viwanja vya Bakhresa Manzese Ubungo Dar Es Salaam
Chanzo: JAMBO TV
" Wanawake amabao ndio wenye chanagamoto nyingi ninaamini tunaenda kuikataa CCM ninaamini tunaenda kuungana na ACT Wazalendo ili tutengeneze Jeshi kubwa la wanawake, twendeni tukafanye mabadiliko tuseme inatosha watoto wetu wanapotea, wanawake wa Tanzania mko wapi? hatuwenzi kuendelea kulia hawezi kufanya chochote, wanawake wa Tanzania tuinuke tuikomboe Tanzania, aluta continuea"- Janeth Ritte
Ritte ameyasema hayo juni 18, 2025 kwenye mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Viwanja vya Bakhresa Manzese Ubungo Dar Es Salaam