Nashangaa kwa @ccm_tanzania kumkana kada wao Hamza aliyefanya mauwaji dhidi ya Polisi, sisi kama Chama tunawapa Pole Chama Cha Mapinduzi kuondokewa na kada wao mtiifu Hamza, wasione aibu" James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR MAGEUZI.
View attachment 1912488
View attachment 1912605
28 August 2021 Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia, ametoa pole kwa chama cha Mapinduzi (Ccm), kwa kufiwa na mmoja wa wanachama wao anayefahamika kwa la Hamza, ambaye aliuwawa na jeshi la polisi wiki hii.
Source: MwanaHALISI TV