imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,678
- 71,030
Na yule Rashidi anayezuia Wananchi wasipate ChanjoKuna Kila Dalili watanzania waanaongozwa na akina " Hamza" wengi.kupitia kuwapata Viongozi kwa njia ya wizi wa kura.
Na yule Rashidi anayezuia Wananchi wasipate ChanjoKuna Kila Dalili watanzania waanaongozwa na akina " Hamza" wengi.kupitia kuwapata Viongozi kwa njia ya wizi wa kura.
Comrade pole sana kwa msiba wa Hayati Hamza.Kwakipi?
Comrade hii fungulia thread yake inayojitegemea.Yule jambazi wa magari Arusha sasa hivi ameomba hifadhi CANADA.....
#SiempreJMT
Ningekua jaji Mtungi ningemwandikia mwenyekiti wa CCM kuomba ajieleze kwanini chama chake kinafuga magaidi ?Yule jambazi wa magari Arusha sasa hivi ameomba hifadhi CANADA.....
#SiempreJMT
Yule jambazi wa magari Arusha sasa hivi ameomba hifadhi CANADA.....
#SiempreJMT
CCM ni bahari....
Imekusanya wengi......
🤣🤣Duniani wanaishi wanadamu sio malaika
Ndio maana hata wale wanaodhani wako perfect walimchukua lowasa waliyethibisha ni fisadi wakampigania aongoze nchi
Na Magufuli akampokea Lowassa akirudi toka Chadema akisema mzee Lowassa ni mzalendo,ameitumikia nchi hii kwa Moyo mmoja,hakika CCM tumelamba dumeDuniani wanaishi wanadamu sio malaika
Ndio maana hata wale wanaodhani wako perfect walimchukua lowasa waliyethibisha ni fisadi wakampigania aongoze nchi
Lkn si kasema ukweli? Viongozi waongo wako CCM.Nilisikiaga Mbatia ni mwanasiasa mbobevu lakini alichoandika hapo hakilingani na ubobevu wake
Haya mambo ndio yanasababisha Tanzania kukosa wapinzani imara wala vyama pinzani vyenye tija.
Kujenga mtaji wa chama chochote cha siasa tunahitaji viongozi imara wa upinzani, viongozi watakaoweza kujenga mtajiWanachama kwa kutenganisha maovu ya mtu au mwanachama na dini yake, rangi yake, kabila lake, uwezo wake wala nafasi yake kwenye jamii
Hadithi.Mbowe inadaiwa alidiriki kuwatumia baadhi ya wanajeshi ambao sio waaminifu kwa kuwalipa fedha ili watekeleze vitendo vya Kigaidi, hivyo haijalishi huyo Hamza alikuwa kada wa ccm lkn inawezekana kabisa akashawishiwa na Mbowe/CHADEMA akafanya uhalifu.
Lema amewahi kunukuliwa akisema kuwa wakati alipo kamatwa na Polisi, wapo baadhi ya Askari huwa walikuwa wanampa taarifa za siri!!!
ipo wazi kabisa wapo baadhi ya makada wa ccm na hata viongozi waliopo serikalini ambao sio waaminifu ambao wanaweza kushirikiana ktk kutenda na kufanikisha uovu/uhalifu hivyo haijalishi kama inavyo daiwa Mbowe na hao wenzake alionwarubuni kutekeleza vitendo vya kigaidi.