Anachezea sharubu za babu😂😂Nashangaa kwa @ccm_tanzania kumkana kada wao Hamza aliyefanya mauwaji dhidi ya Polisi, sisi kama Chama tunawapa Pole Chama Cha Mapinduzi kuondokewa na kada wao mtiifu Hamza, wasione aibu" James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR MAGEUZI.
View attachment 1912488
😂😂😂😂😂✌️✌️✌️ UtakomaDongo kubwa sana kwa sisi makamisaa tumeliona
Kwakipi?... Hamza ni noma yule! CCM hawajui wameze au wateme! Wamebaki kati kusoma upepo kwanza.
Magaidi wapo ccm na sio CHADEMA. Mbowe aachiwe!Nashangaa kwa @ccm_tanzania kumkana kada wao Hamza aliyefanya mauwaji dhidi ya Polisi, sisi kama Chama tunawapa Pole Chama Cha Mapinduzi kuondokewa na kada wao mtiifu Hamza, wasione aibu" James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR MAGEUZI.
View attachment 1912488
uungwana ni vitendoNashangaa kwa @ccm_tanzania kumkana kada wao Hamza aliyefanya mauwaji dhidi ya Polisi, sisi kama Chama tunawapa Pole Chama Cha Mapinduzi kuondokewa na kada wao mtiifu Hamza, wasione aibu" James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR MAGEUZI.
View attachment 1912488
Ukweli unauma. Kumbukumbu zipo mukiwa naye mtueleze mlimkosea nini??Mbatia hawezi kuandika upumbavu kama huu
Chama Cha MagaidiNashangaa kwa @ccm_tanzania kumkana kada wao Hamza aliyefanya mauwaji dhidi ya Polisi, sisi kama Chama tunawapa Pole Chama Cha Mapinduzi kuondokewa na kada wao mtiifu Hamza, wasione aibu" James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR MAGEUZI.
View attachment 1912488