Hakika Ogopa Mchawi na Mnafiq
Ngoma siyo yao ila wapo tayari kujitoa Roho.
Jamaa mmoja aliepitiwa na Rungu la TFF asijihusishe na Michezo hajakoma Jina kapuni
Ambae ni mnazi wa yanga na M/Kiti serikali ya mitaa tandika na Mwingine aliewahi kucheza mchezo mchafu kwa serikali (kesi haijaisha) wamebaraswa wakitaka kupenyeza Ulozi Taifa
Tukio hlo lilitokea usiku wa kuamkia leo baada ya watu hao kutinga uwanjani hapo, kumbe hawakujua kuwa uwanja huo upo chini ya ulinzi mkali sana!!
Ngoma siyo yao ila wapo tayari kujitoa Roho.
Jamaa mmoja aliepitiwa na Rungu la TFF asijihusishe na Michezo hajakoma Jina kapuni
Ambae ni mnazi wa yanga na M/Kiti serikali ya mitaa tandika na Mwingine aliewahi kucheza mchezo mchafu kwa serikali (kesi haijaisha) wamebaraswa wakitaka kupenyeza Ulozi Taifa
Tukio hlo lilitokea usiku wa kuamkia leo baada ya watu hao kutinga uwanjani hapo, kumbe hawakujua kuwa uwanja huo upo chini ya ulinzi mkali sana!!