Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
Hapo napingana na wewe mimi naona huo ndio utaratibu wetu, kwani hata Maalim Seif Juzi juzi tu alikuwa na ziara za kichama mikoa ya Mwanza, Lindi na Dar es salaam lakini alikuwa anatumia resource za serikali. naomba nisiwe mnafki kwenye hili.Kumbe makamu wa rais kwenye ziara ya kiserikali kazi yake kuwapa kadi wanachama wapya? Kama ndio hivyo tutaendelea kuwa maskini kwa muda mrefu kama hatutachukua hatua ya kubadilisha hali hii/mfumo huu yaani kukiua ccm.
nakumbuka pia niliwahi kutabiri kuwa kabla ya mwaka 2013 chadema itakuwa imekufa sio kilimanjaro tu,hata katika mikoa ambayo inaonekana walau ina ahueni ya wanachama,mwaka 2012 umeanza vinaya kwa chaga development manifesto,( matukio mnayo,sengerema & na hawa wa nachingwea) kuna tetesi kuwa hapa mwanza mjini na hata wilaya ya geita viongozi wa cdm watavua magwanda,kisa? Yana joto sana
Halafu mimi nkienda kule mtaskia kajiunga na JF!!!!!Mzee huyo namfahamu vizuri alkuwa CCM akaja Nachigwea Lipumba akajiunga na CUF, alipokuja Dr Slaa akajiunga na CHADEMA na amekuja Dr Bilal karudi CCM, Subilini aende Mrema mtamsikia TLP na akizuka huko Mbatia mtamsikia NCCR......
Niliwahi kuwaambia humu JF baada ya Bunge tutaona vigogo wa Magwanda wakiondoka, wakanishutumu, wakanikejeli, sasa naona hawataki hata kuikumbusha ile nyuzi, maana mimi nilifikiri watakuwa wawili watatu, lakini sasa naona ni makundi kwa makundi. Maaaweeee!
Mizigo inazidi kujiengua CDM. Angechelewa kidogo angefukuzwa na chama. Heri amesepa mapema.
Nilipoona jina tu sikushangaa kwa nini karudisha kadi.... unafiki ni sehemu ya maisha ............Niliwahi kuwaambia humu JF baada ya Bunge tutaona vigogo wa Magwanda wakiondoka, wakanishutumu, wakanikejeli, sasa naona hawataki hata kuikumbusha ile nyuzi, maana mimi nilifikiri watakuwa wawili watatu, lakini sasa naona ni makundi kwa makundi. Maaaweeee!
Huyo naye kigogo unanchekesha mnauziwa mbuzi kwenye gunia na nyie mnakubali muulizeni Ngeleja atawaambia.Niliwahi kuwaambia humu JF baada ya Bunge tutaona vigogo wa Magwanda wakiondoka, wakanishutumu, wakanikejeli, sasa naona hawataki hata kuikumbusha ile nyuzi, maana mimi nilifikiri watakuwa wawili watatu, lakini sasa naona ni makundi kwa makundi. Maaaweeee!
Ngeleja hana hamu na hii kitu,Huyo naye kigogo unanchekesha mnauziwa mbuzi kwenye gunia na nyie mnakubali muulizeni Ngeleja atawaambia.
Amekabidhiwa kadi ya ccm na makam wa rais Mohamed Ghalib Bilal.Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyesha kadi ya CHADEMA baada ya kukabidhiwa na Hassan Mkope (kulia) aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wa Wilaya ya Nachingwea, aliyeamua kujiengua na kujiunga na CCM. Makamu ameanza ziara yake katika Mkoa wa Lindi jana januari 20.
source:mjengwa na michuzi blogs
Hivi hiyo ziara ya makamu wa rais ni ya kichama au kiserikali?
Hilo tumbo ni ishara tosha kua alikua fisadi!!
Aende tu bana!!
Amekabidhiwa kadi ya ccm na makam wa rais Mohamed Ghalib Bilal.Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyesha kadi ya CHADEMA baada ya kukabidhiwa na Hassan Mkope (kulia) aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wa Wilaya ya Nachingwea, aliyeamua kujiengua na kujiunga na CCM. Makamu ameanza ziara yake katika Mkoa wa Lindi jana januari 20.
source:mjengwa na michuzi blogs
Niliwahi kuwaambia humu JF baada ya Bunge tutaona vigogo wa Magwanda wakiondoka, wakanishutumu, wakanikejeli, sasa naona hawataki hata kuikumbusha ile nyuzi, maana mimi nilifikiri watakuwa wawili watatu, lakini sasa naona ni makundi kwa makundi. Maaaweeee!