jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Hivi huwa hakuna uwezekano wa kutumia maneno mengine kwenye issue kama hii ambapo mtu ameuwawa kinyama?RIP Mbwambo!Mungu ametoa Mungu ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe!.
Hivi huwa hakuna uwezekano wa kutumia maneno mengine kwenye issue kama hii ambapo mtu ameuwawa kinyama?RIP Mbwambo!Mungu ametoa Mungu ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe!.
Hivi huwa hakuna uwezekano wa kutumia maneno mengine kwenye issue kama hii ambapo mtu ameuwawa kinyama?
Mkuu J. Mushi, mwenye kuleta uhai ni Mungu na ndiye mwenye authority roho iache mwili!. Hata kama mauaji yamepangwa na shetani, shetani hana mamlaka ya uhai wala kifo hivyo bila kujalisha mtu amekufaje hata vitani, hata kwa firing squad hata kwa hukumu ya kifo inabaki Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe!.Hivi huwa hakuna uwezekano wa kutumia maneno mengine kwenye issue kama hii ambapo mtu ameuwawa kinyama?
Damu inayowagika hipo siku itawarudia tulio hai tuombe uzima...Hujuma.......
RIP Mbwambo!Mungu ametoa Mungu ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe!wote waliyofanya huo unyama kwasababu yoyote ile Malipo ni hapa hapa Duniani.
CCM kama wanataka kuchinjana waseme! Walianza kuua kule Igunga baadae wakawacharaza mapanga wabunge wetu kule Mwanza na leo tena wameua kiongozi wetu! Sierra Leone walianza hivi hivi. Kama wanataka watufikishe huko, sisi tutawafikisha zaidi ya hapo maana umafya kwetu ni zaidi ya siasa. Tunawapa muda waendelee na ujinga wao, siku tukianza kulipiza kisasi nchi haitatawalika.
Mkuu unauliza swali au una taarifa tofauti kutokana na hili???ebu kuwa serious sasa,una uhakika kuchinjwa kwake kunatokana na siasa?
wewe kunguru nini?ebu kuwa serious sasa,una uhakika kuchinjwa kwake kunatokana na siasa?
wanao fanya huo uchunguzi si ni magamba hao hao? siku zenu zina hesabikaPoleni sana. Tukio hili inabidi lisiusishwe na siasa. Chamuhimu ni uchunguzi wa kina ufanywe.
R.I.P Mbwambo!
Asante mkuu Pasco kwa taarifa hii, sikuwa na habari kuwa shetani anauwezo wa kupanga mauaji na Mungu akayatekeleza bila huruma!Mkuu J. Mushi, mwenye kuleta uhai ni Mungu na ndiye mwenye authority roho iache mwili!. Hata kama mauaji yamepangwa na shetani, shetani hana mamlaka ya uhai wala kifo hivyo bila kujalisha mtu amekufaje hata vitani, hata kwa firing squad hata kwa hukumu ya kifo inabaki Bwana Ameleta, Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe!.