Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Mwenyikiti wa taifa wa chadema mh Freeman Mbowe atafungua tawi kubwa chuoni makumira kuanzia saa tano asubuhi,wadau mnakaribishwa..
Mwenyikiti wa taifa wa chadema mh Freeman Mbowe atafungua tawi kubwa chuoni makumira kuanzia saa tano asubuhi,wadau mnakaribishwa..
Tushachoka na hawa vikongwe acha wafe tu, siku zao zimekaribia. Na hapa cbe siku si nyingi tunafungua tawi letu la cdm.Muhimu ni kuvutia kada zote katika jamii, hata wale wazee walokunywa maji ya kijani huku wakiendelea kuishi kwenye lindi la umaskini na ufukara wa kutupwa!