ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,006
Wakati wa kutoa mchango wake Mh. Zitto Kabwe kwenye makadirio ya bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani kama ilivyo ada alipewa dakika 5 lakini kwa mshangao mkubwa Zitto aliongea dakika 2 sekunde 54 na mh Zungu akamwambia dakika zake 5 zimeisha. Swali langu kwa Zungu unamlinda nani??