Yameanza tenaNdugu Temba Gaspar Erasmus Adaiwa Kutekwa akitoka Benki
Msipochukua hatua vijana wenu wanaendelea kupotea sanaNdugu Temba Gaspar Erasmus mwenyekiti Wa BAVICHA Kanda ya Kaskazini Adaiwa Kutekwa na Watu wasiojulikana akiwa anatoka kwenye moja ya Benki jijini Arusha.
Taarifa zaidi kukujia
View attachment 3458775
Magufuli ndiye muasisi wa utekaji nchini. Alaaniwe huko alikoNdugu Temba Gaspar Erasmus mwenyekiti Wa BAVICHA Kanda ya Kaskazini Adaiwa Kutekwa na Watu wasiojulikana akiwa anatoka kwenye moja ya Benki jijini Arusha.
Taarifa zaidi kukujia
View attachment 3458775
View attachment 3458793
Hahaha lazima waje nchi za mabeberu kwanza, haitokuwa rahisVijana wenu Mimi na nani?!
Wewe unauhakika Haiwezi kukugusa Kwa namna moja au nyingine?