Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

Hivi huyu nyanya CHUNGU hiii sura yake wachina walikuja kukopi sura yake wakatengeneze mabasi ya mwendo kasi, maana sura lake Pana kama mabasi ya mwendo kasi aende mahakamani akawadai wachina fidia wamekopi sura yake wakati yeye hapati faida
Screenshot_20240419-181152.png
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hivi huyu nyanya CHUNGU hiii sura yake wachina walikuja kukopi sura yake wakatengeneze mabasi ya mwendo kasi, maana sura lake Pana kama mabasi ya mwendo kasi aende mahakamani akawadai wachina fidia wamekopi sura yake wakati yeye hapati faida
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Alafu hata uvaaji nguo sijui alifundishwa na Babu yake uwenda Babu yake alikuwa anafanya kazi kwa wahindi
 
Nani alikuwa anawatusi wewe ropo ropo? Matusi ni utamaduni wa Wapinzani sio CCM
1. Aliyemwita mwenzie (Msigwa) ngedere, tena akiwa bungeni, alikuwa mpinzani?
2. Aliyesema Ikulu si wodi ya wagonjwa, hivyo lowasa mgonjwa hawezi ingia ikulu, alikuwa mpinzani?
3. Aliyewaambia wananchi, wanye kinyasi wakifanye kuwa lami, alikuwa mpinzani?
4. ALiyewaambia wananchi, wapige mbizi kwenye kuvuka pale Kigamboni, alikuwa mpinzani?
 
1. Aliyemwita mwenzie (Msigwa) ngedere, tena akiwa bungeni, alikuwa mpinzani?
2. Aliyesema Ikulu si wodi ya wagonjwa, hivyo lowasa mgonjwa hawezi ingia ikulu, alikuwa mpinzani?
3. Aliyewaambia wananchi, wanye kinyasi wakifanye kuwa lami, alikuwa mpinzani?
4. ALiyewaambia wananchi, wapige mbizi kwenye kuvuka pale Kigamboni, alikuwa mpinzani?
Wapinzani wanategemea matusi sio hoja
View: https://twitter.com/ccm_tanzania/status/1781352535988556064?t=s71_Ggb0TzBUOyuZUWtZtA&s=19
 
Back
Top Bottom