Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Yeye kama yeye ni mwepesi lakini anatembea na mtego wa ajenda za nje zilizojificha.Angekuwa mwepesi mngefungia vyombo vya habari visitangaze kampeni zake ?
Angekuwa mwepesi mngeitisha kamati kuu yote kwenda kwenye kampeni ?
Ndio maana mapambano yanakuwa ya kina kwani hupambani na mtu mmoja anayeonekana ikaishia hapo, kuna wenye agenda Chafu nyuma ya uwepo wake.