*19/12/2017 Mkoa wa Dodoma.*
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Ndg Kheir James (MCC) amekutana na kufanya mazungumzo na Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa yote nchini wa UVCCM.
Kikao hiko kimefanyika ukumbi wa mikutano CCM Mkoa wa Dodoma kilihudhuriwa pia na Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Tabia Mwita Maulid na Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka.
Kazi umeanza na inaendelea.......
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Ndg Kheir James (MCC) amekutana na kufanya mazungumzo na Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa yote nchini wa UVCCM.
Kikao hiko kimefanyika ukumbi wa mikutano CCM Mkoa wa Dodoma kilihudhuriwa pia na Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Tabia Mwita Maulid na Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka.
Kazi umeanza na inaendelea.......